Namba E tayari, mliokuwa mnasubiria kazi kwenu

Yehuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
DYA ambayo tayari ishatoka
Mkuu na akili zangu zote sijawahi kujua maana ya hizi namba za magari.
Sijui namba A, B ,C na D uwa mnamaanishaga nini?

Nasikia mtu anasema gari namba B limauZwa nashimdwa kumuelewa
 
Mkuu na akili zangu zote sijawahi kujua maana ya hizi namba za magari.
Sijui namba A, B ,C na D uwa mnamaanishaga nini?

Nasikia mtu anasema gari namba B limauZwa nashimdwa kumuelewa
Ladies wengi ndo hawajuagi mambo ya namba za magari. Jitahidi uvijue vitu kama hivi esp kama ni kidume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…