Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?

Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?

Mosi:Wapalestina ni Waarabu?
Pili:Wakati hao Wayahudi asilia walikua wanaishi hapo Wapalestina walikuwa wapi?

Ndiyo Wapalestina pamoja na Wayahudi (asilia) ni Jamii ya Kiarabu!

 
Uwepo wa nchi ya Israeli miaka 1000 B.C hauko kidini pekee bali hata kihistoria,hilo ni moja
Hoja iliyoko hapa ni nani mwenye haki ya kuishi kwenye eneo hilo baina ya Wapalestina na Wayahudi-hilo ni la pili

Nchi hiyo ilikuwa ni ya Wakanaan,je hawa watu wapo wapi leo?-Hilo la tatu

historia ipi unayozungumzia? ni nani ameandika hiyo historia? una uhakika historia hiyohiyo na waarabu wanaisoma na kuiamini?? una uhakika historia hiyohiyo wajapani na wachina wanaisoma na kuiamini?? kama unaamini sana biblia kama kitabu chako cha historia, basi kataa kuanzia leo binadamu hajatokea from evolution kwa nyani!

Kama unadai kuwa nchi hiyo haikuwa ni ya Wayahudi,unamaanisha hata Waingereza ambao leo wapo Marekani waondoke?
Kama ni hivyo,kuna watu walipigana vita zamani huko na wakachukua maeneo na leo yanahesabika yao kama vile Waarabu walioko Misri,unataka warudi walipokuwa wanaishi mababu zao?

Kama hao hawapaswi kurudi,kwanini unaleta hoja ya Wakanaani ambao ndio walikuwa wanaishi hapo ukitarajia warejeshwe huko?

ni sawa hata hapa tanzania inawezekana miaka 1000bc walikuwa wanaishi watu wengine, ni kweli sio sawa waje watu kutoka sijui wapi huko ulaya na vitabu vyao vya dini wanavyoamini wao waje waseme, eti hii ni ardhi ya tz ni yao hivyo wa-tz wote hameni! patachimbika hakyamungu!!!

sasa iweje unaona ni sawa wayahudi baada ya kuish uhamishoni miaka zaidi ya 1000(elfu moja) waje na kuwahamisha wapalestina, na kuwachinjilia mbali watoto na wamama na kila mtu na kuwafukuza na kusema ni ardhi yao na kuanzisha taifa lao la "zamani" ?? double standard??
 

Wote Wayahudi asilia na Wapalestina/Waarabu pale Jangwani (Palestina/Israeli) ni kwao asilia!

Tatizo lako kubwa ni elimu. Pale ni chimbuko la dini kubwa tatu, Uislam, Uyahudi, Ukristo. Wayahudi hawana nchi, Wayahudi ni dini. ukisema Wayahudi wana nchi, Wakristo jee, nchi yao ni ipi? Waislam jee, nchi yao ni ipi?

Hao Wapalestina unaesema wapo Wayahudi, Waislam na Wakeisto. Soma kijana.
 
Nchi yao ipi? walikuwa hawana nchi. Kuna dini ina nchi yake?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Wewe ni mpuuzi na ngoja nikuambie kwanini nakuita hivyo....

Kwanza nilikuuliza swali ambalo kwa makusudi umeliacha kulijibu kwasababu zako binafsi,nilikuuliza kwamba Wayahudi waliokuwa wanasemwa kwenye Biblia na Quran walikuwa wanaishi wapi?

Kama unataka kuniambia kuwa hiyo ni dini,unataka kuniambia kuwa kwenye Biblia na kwenye Quran walipokuwa wanatajwa Wayahudi walikuwa wanataja dini?

Lakini pia,unaendelea kuwa mpuuzi kwasababu unajua kabisa Yahudi inatokana na jina Yuda na hawa watu waliwahi kuwa na nchi yao iliyoitwa Judea miaka kama 800 B.C

Kingdom of Judah - Wikipedia, the free encyclopedia

Sasa wewe sijui huelewi au una nini kichwani mwako hadi unajidai kukana hapa,kama unataka ueleweke nambie kwanza wale Waisrael [Wayahudi wakiwemo] wanaotajwa kwenye Quran ni watu wa wapi na waliishi wapi!
 
Tatizo lako kubwa ni elimu. Pale ni chimbuko la dini kubwa tatu, Uislam, Uyahudi, Ukristo. Wayahudi hawana nchi, Wayahudi ni dini. ukisema Wayahudi wana nchi, Wakristo jee, nchi yao ni ipi? Waislam jee, nchi yao ni ipi?

Hao Wapalestina unaesema wapo Wayahudi, Waislam na Wakeisto. Soma kijana.
Ni wapi nilipotaja nchi ya Wayahudi/Wapalestina? Kama ukinisoma vizuri utaona nimetumia neno Mashariki ya Kati nikimaanisha eneo asilia la hawa watu!
 
historia ipi unayozungumzia? ni nani ameandika hiyo historia? una uhakika historia hiyohiyo na waarabu wanaisoma na kuiamini?? una uhakika historia hiyohiyo wajapani na wachina wanaisoma na kuiamini?? kama unaamini sana biblia kama kitabu chako cha historia, basi kataa kuanzia leo binadamu hajatokea from evolution kwa nyani!
Ni historia ipi inayokana uwepo wa taifa la Israeli miaka 1000 B.C?

Maana isije kuwa tunaassume tu hapa na kujenga hoja kutoka kwenye assumption

ni sawa hata hapa tanzania inawezekana miaka 1000bc walikuwa wanaishi watu wengine, ni kweli sio sawa waje watu kutoka sijui wapi huko ulaya na vitabu vyao vya dini wanavyoamini wao waje waseme, eti hii ni ardhi ya tz ni yao hivyo wa-tz wote hameni! patachmika hakyamungu!!!
Bado unaendeleza ngano zile zile,nimekuambia kuwa nchi ya Israeli inakubalika kihistoria na sio kidini pekee

Israel - Ancient History Encyclopedia
sasa iweje unaona ni sawa wayahudi baada ya kuish uhamishoni miaka zaidi ya 1000(elfu moja) waje na kuwahamisha wapalestina, wakuwachinjilia mbali watoto na wamama na kila mtu na kuwafukuza na kusema ni ardhi yao na kuanzisha taifa lao la "zamani" ?? double standard??
Hii inawezekana ni hoja ya msingi lakini kukana kuwa hawakuwepo ni ujinga zaidi ....!!
 
Hivi mkuu Wasamaria wako wapi leo?

Inawezekana walisambaratishwa na wenyewe, Kwasababu kipindi cha agano jipya Israel ilikuwa imegawanywa katika maeneo makubwa matatu Yaani Uyahudi sehemu ya kusini, Samaria nchi ya katikati na Galilaya sehemu ya kaskazini chini ya utawala wa Warumi, Uyahudi na Samaria mara nyingi ziliunganishwa kiutawala, Makao makuu ya utawala yalikuwa Kaisaria

Mji uliojengwa pwani ya Bahari ya kati na Herode Mkuu

Matendo ya Mitume 1:8 Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.

Matendo ya Mitume 23:33 Na wale walipofika Kaisaria, na kumpa liwali ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.
 
Wayahudi ni Wayuda...

Huyu mwanamke kinamchanganya kitu kidogo sana na hilo linaonesha vile akili yake ni ya ajabu sana

Yaani dini,taifa na watu kubeba jina moja kunamchanganya na kumvburuga kabisa ...

Yaani kwake haiwezekani nchi na dini vikawa na jina moja ....

Yaani mfano leo ncho mojawapo ibadilishwe na iitwe Islam halafu nchi hiyo ikatoweka kwasababu zozote zile halafu akazaliwa binadamu mwenye akili ya kijinga kama ya huyu Faiza miaka kama 1000 hivi ijayo atakataa kuwa hakukuwahi kuwepo na nchi inayoitwa Islam kwasababu tu Islam ni jina la dini

Hovyo kabisa huyu mtu!
 
Inawezekana walisambaratishwa na wenyewe, Kwasababu kipindi cha agano jipya Israel ilikuwa imegawanywa katika maeneo makubwa matatu Yaani Uyahudi sehemu ya kusini, Samaria nchi ya katikati na Galilaya sehemu ya kaskazini chini ya utawala wa Warumi, Uyahudi na Samaria mara nyingi ziliunganishwa kiutawala, Makao makuu ya utawala yalikuwa Kaisaria

Mji uliojengwa pwani ya Bahari ya kati na Herode Mkuu

Matendo ya Mitume 1:8 Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.

Matendo ya Mitume 23:33 Na wale walipofika Kaisaria, na kumpa liwali ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.

Mkuu haya mambo yananipa mawazo sana .....

Unajua kuwajua Wasamaria ni kuwajua Waisraeli wa yale makabila 10 ambayo leo tunaambiwa hayajulikani ni akina nani,sasa wameamua kutokutambua walipo hawa watu ili kuficha ukweli wa Waisraeli hao ...

Mkuu hii ni njama hatari sana

Kwanini Wayahudi wawepo hadi leo lakini hao wasiwepo?
 
Huyu mwanamke kinamchanganya kitu kidogo sana na hilo linaonesha vile akili yake ni ya ajabu sana

Yaani dini,taifa na watu kubeba jina moja kunamchanganya na kumvburuga kabisa ...

Yaani kwake haiwezekani nchi na dini vikawa na jina moja ....

Yaani mfano leo ncho mojawapo ibadilishwe na iitwe Islam halafu nchi hiyo ikatoweka kwasababu zozote zile halafu akazaliwa binadamu mwenye akili ya kijinga kama ya huyu Faiza miaka kama 1000 hivi ijayo atakataa kuwa hakukuwahi kuwepo na nchi inayoitwa Islam kwasababu tu Islam ni jina la dini

Hovyo kabisa huyu mtu!
Halafu hapo hapo anawaambia watu hawana elimu, Hao Wayahudi ni watu waliotokana na Yuda, halafu pia wakawa na dini yao... na pia walikuwa na nchi yao...
 
Wewe ni mpuuzi na ngoja nikuambie kwanini nakuita hivyo....

Kwanza nilikuuliza swali ambalo kwa makusudi umeliacha kulijibu kwasababu zako binafsi,nilikuuliza kwamba Wayahudi waliokuwa wanasemwa kwenye Biblia na Quran walikuwa wanaishi wapi?

Kama unataka kuniambia kuwa hiyo ni dini,unataka kuniambia kuwa kwenye Biblia na kwenye Quran walipokuwa wanatajwa Wayahudi walikuwa wanataja dini?

Lakini pia,unaendelea kuwa mpuuzi kwasababu unajua kabisa Yahudi inatokana na jina Yuda na hawa watu waliwahi kuwa na nchi yao iliyoitwa Judea miaka kama 800 B.C

Kingdom of Judah - Wikipedia, the free encyclopedia

Sasa wewe sijui huelewi au una nini kichwani mwako hadi unajidai kukana hapa,kama unataka ueleweke nambie kwanza wale Waisrael [Wayahudi wakiwemo] wanaotajwa kwenye Quran ni watu wa wapi na waliishi wapi!

mkuu wewe husomi na siku hizi google imekurahisishia , soma sana uatelewa huu mkanganyiko uliopo, is judaism a religion or a race? ni maswali mengi na ubishi mwingi umetokea kwa hili swali.

-wengine wkiclaim na imetokea sana, wewe mmakonde ukibadili dini leo na kufuata judaism unakuwa myahudi, na wayahudi wengi waliopo leo ni wayahudi waliokuwa wayahudi by convertion to judaism . wayahudi wengi wliopo leo ni ashkenaz jews, waliupataje uyahudi? ni mfalme wao alipoamua nchi nzima ifuate dini ya judaism. go read ashknazi jews and khazaria empire.

-wayahudi wale wa kutoka kizazi cha yacob ni wachache sana waliopo leo.
 
Wewe ni mpuuzi na ngoja nikuambie kwanini nakuita hivyo....

Kwanza nilikuuliza swali ambalo kwa makusudi umeliacha kulijibu kwasababu zako binafsi,nilikuuliza kwamba Wayahudi waliokuwa wanasemwa kwenye Biblia na Quran walikuwa wanaishi wapi?

Kama unataka kuniambia kuwa hiyo ni dini,unataka kuniambia kuwa kwenye Biblia na kwenye Quran walipokuwa wanatajwa Wayahudi walikuwa wanataja dini?

Lakini pia,unaendelea kuwa mpuuzi kwasababu unajua kabisa Yahudi inatokana na jina Yuda na hawa watu waliwahi kuwa na nchi yao iliyoitwa Judea miaka kama 800 B.C

Kingdom of Judah - Wikipedia, the free encyclopedia

Sasa wewe sijui huelewi au una nini kichwani mwako hadi unajidai kukana hapa,kama unataka ueleweke nambie kwanza wale Waisrael [Wayahudi wakiwemo] wanaotajwa kwenye Quran ni watu wa wapi na waliishi wapi!

Punguza ghadhab, hilo swali lako sijaliona, ntalipitia na ntakujibu, si unajuwa hapa ni Bahari Kubwa!

Ntarudi, sipo kwenye laptop, nipo kwenye simu, usiwe na kiherehere.
 
Mkuu haya mambo yananipa mawazo sana .....

Unajua kuwajua Wasamaria ni kuwajua Waisraeli wa yale makabila 10 ambayo leo tunaambiwa hayajulikani ni akina nani,sasa wameamua kutokutambua walipo hawa watu ili kuficha ukweli wa Waisraeli hao ...

Mkuu hii ni njama hatari sana

Kwanini Wayahudi wawepo hadi leo lakini hao wasiwepo?

Kipindi cha Yesu yale makabila 10, walikuwepo baadhi hebu check hii verse hapa chini...

Luka 2:36 Palikuwa na nabii mke, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila ya Asheri, na umri wake ulikuwa miaka mingi, alikuwa amekaa na mume miaka saba baada ya uanawali wake

Halafu pia mkuu unajua yale makabila 10 yaliacha desturi yakafuata zile za mataifa, ndio chanzo na chenyewe cha kuchukuliwa mateka na Waashuru, sema Wayahudi wenyewe walibaki katika ile principle, hayo makabila kumi yaliacha hata kwenda kuabudu kule Yerusalemu kipindi cha kina Yeroboamu...
 
Punguza ghadhab, hilo swali lako sijaliona, ntalipitia na ntakujibu, si unajuwa hapa ni Bahari Kubwa!

Ntarudi, sipo kwenye laptop, nipo kwenye simu, usiwe na kiherehere.
Unatumia Application ya JF!? maana ukitumia mobile browser haiwezi kuleta signature kama ilivyofanya hiyo ya kwako, vinginevyo labda ukiwa kwenye computer...
 
Kwanza kwa maana hii ni kwamba kukana kuwa hakukuwahi kuwepo kwa nchi inayoitwa Israeli ni upuuzii
Pili kukana kuwa hakukuwahi kuwepo na nchi inayoiwa Judea [Yahudi] ni upuuzii mwingine

Lakini pamoja na haya,kwa context ya huyu alieandika haya,wote kwa maana ya Wapalestina na Wayahudi ni wakaazi halali wa eneo hilo,sio?


Mkuu mi sielewi kama nachangaya au la. Kuna WAYAHUDI (yaani uzao wa mtoto wa Yakobo-Judah; pia wafuasi wa Judaism) kisha kuna Isrealites. Kwa mfano Nabii Musa alikuwa an Israelite. Sio sahihi kumwita a Jew, hata Abraham sijaona akiandikwa kama a Jew. Ukisema Israelites unamaanisha TAIFA na hususan a particular RACE of people (Kama Lembas of south africa, bantus, falashas etc) ambao walipata exceptional favours toka kwa M/Mungu. Mtu anaweza aka-convert akawa muumini wa Judaism na hence kuwa a JEW. Lakini hawezi kuwa an Israelite. kwa sasa huo uzao wa Yudah Unaleta utata sana kuu trace? ndipo nadhani dominantly Ukisema Jew, wengi wana-refer Yule anayefuata Judaism. Sio lazima awe an ISRAELITE (kwa mfano hawa Khazars Jews kama kina Shimon Peres au Netanyahu)

Kwa maana hii ya mwisho ndipo nadhani wewe na FaizaFoxy mnapotofautiana. Faiza anatumia Jew kama mfuasi wa Judaism, wewe unatumia Jew kama Israelite.
 
Last edited by a moderator:
mkuu wewe husomi na siku hizi google imekurahisishia , soma sana uatelewa huu mkanganyiko uliopo, is judaism a religion or a race? ni maswali mengi na ubishi mwingi umetokea kwa hili swali.

-wengine wkiclaim na imetokea sana, wewe mmakonde ukibadili dini leo na kufuata judaism unakuwa myahudi, na wayahudi wengi waliopo leo ni wayahudi waliokuwa wayahudi by convertion to judaism . wayahudi wengi wliopo leo ni ashkenaz jews, waliupataje uyahudi? ni mfalme wao alipoamua nchi nzima ifuate dini ya judaism. go read ashknazi jews and khazaria empire.

-wayahudi wale wa kutoka kizazi cha yacob ni wachache sana waliopo leo.

Nimekuwekea hadi link lakini bado unasema eti sisomi,nyie watu bana ni hatari sana ....

Hakuna haja ya kuanzisha ligi kwa mambo ambayo yanaeleweka kwa uwazi kama haya,Judaism ni dini,ni watu [jamii] lakini pia kuna nchi iliwahi kuwepo iliyokuwa na jina hili la Judea,chanzo cha haya yote ni mmoja kati ya watoto wa Jacob ambae ni Yuda

Dini ya hawa watoto wa Yuda imeakisi jina lake,jamii ya hawa watoto imeakisi jina lake na nchi iliyowahi kuwepo jina lake limeakisi jina lake pia

Hili mbona ni rahisi sana?

Kitu gani kinawafanya msielewe?
 
Back
Top Bottom