Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Haya to mrejesho nimekufanya niniUnakimbia kimbia sana ila mwisho wako upo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya to mrejesho nimekufanya niniUnakimbia kimbia sana ila mwisho wako upo.
2 kwa 1 au?Haya to mrejesho nimekufanya nini
3-1 unajifanya chizi2 kwa 1 au?
Ataje id yake..mi natembea na mafuta sikioni...asijesema hakuambiwajuma mpemba vs dronedrake mpambano wenu bado?
Watu sijui ndo tuseme mko serious sana na maisha au mchezo wa draft unadharaulikaHuna kaz eeh
vibonde hao napigaga mpaka huruma, kunaye pimbi mmoja anaitwa mwando, nifikishieni salamu namtafuta sanajuma mpemba vs dronedrake mpambano wenu bado?
Oya ussain bolt vipi?Ataje id yake..mi natembea na mafuta sikioni...asijesema hakuambiwa
Mbona vijiwe vingi watu wakicheza wanacheza na dau pembeni wewe ubingwa wako unacheza bure chief? Au huwez kucheza under pressureKwenye mabewe mimi natisha mzee, ingekua mpira tayari nna maisha yangu ila kwasabu ni goda basi naambulia sifa tu
Nani atayekubali kupangwa mechi na mimi vijiweni ikiwa tu humu JF nakimbiwa?Mbona vijiwe vingi watu wakicheza wanacheza na dau pembeni wewe ubingwa wako unacheza bure chief
Watu wengi wenye maneno kama wewe huwa hamna shughuli I wonder kama utakua unajua kwa kiasi hicho nasubiria pambano lako hapa na juma mpemba huku mimi nikiendelea kujifuaNani atayekubali kupangwa mechi na mimi vijiweni ikiwa tu humu JF nakimbiwa?
At least ungetuonyesha video tuone lililovoisha hapo hio picha sasa hatuelewi chochote
Acha kumsakizia matatizo mwenzio unafikiri ye anapenda?Watu wengi wenye maneno kama wewe huwa hamna shughuli I wonder kama utakua unajua kwa kiasi hicho nasubiria pambano lako hapa na juma mpemba huku mimi nikiendelea kujifua
Unamikwara sana jumampembaAtaje id yake..mi natembea na mafuta sikioni...asijesema hakuambiwa
Video hiyo hapoKabisa wengine tumebaki kutumbua macho tu 2kishindwa kutumbua huo mtego