Namna dalmax alivyofinish hili draft nimejiona kama ngumbaru

Namna dalmax alivyofinish hili draft nimejiona kama ngumbaru

Mwambieni apande kitandani
1635749145331.png
 
Huna kaz eeh
Hivi duniani tupo ili tufanye nini ?

Wengi wetu tupo kwenye Rat Race yaani tunakimbia tuu.., tunachokikimbiza hakipo..., bora huyu ana-enjoy the ride (hayo ndio maisha kuishi kwa furaha)
 
Watu sijui ndo tuseme mko serious sana na maisha au mchezo wa draft unadharaulika

Ronaldo isingekuwa korona angekuwa south kuipeperusha bendera ya TZ

Unajua South wanacheza King Hairuki, sina uhakika kama CR7 ni mnyama kwenye hizo anga.

South na Kenya wanacheza aina moja ya draft.
 
hivi hamna Draft hili kwenye Iphone anaejua anisaidie nahitaji draft lenye Sheria za Tz kama hili maana nilikua naenjoy kwa Android tangu nihamie gerezani giza tu
 
hivi hamna Draft hili kwenye Iphone anaejua anisaidie nahitaji draft lenye Sheria za Tz kama hili maana nilikua naenjoy kwa Android tangu nihamie gerezani giza tu
Hizo simu zilitengenezwa kwa ajiri ya matajiri na hata bei yake inauzwa kiutajiri. Ila ngoja tuulizie kwa wengine kama inawezekana
 
Dalmax 100% inanipeleka puta natoa sare tu nipeni mbinu za ushindi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom