Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Ndiyo hivyo. Ukisogea mbele anakupa kete tatu hadi kingi. Kisha anaingia. Unakula kete mbili kwa kingi na yeye anakuzunguka ila kingi yake inakufa. Anakuwahi kuingia kingi, goli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hivyo. Ukisogea mbele anakupa kete tatu hadi kingi. Kisha anaingia. Unakula kete mbili kwa kingi na yeye anakuzunguka ila kingi yake inakufa. Anakuwahi kuingia kingi, goli.
YeahNdiyo hivyo. Ukisogea mbele anakupa kete tatu hadi kingi. Kisha anaingia. Unakula kete mbili kwa kingi na yeye anakuzunguka ila kingi yake inakufa. Anakuwahi kuingia kingi, goli.
mimi ndiye niliyekuchakaza 3 uka leave, poweramId gani umetumia, mm natumia jina starlick.
[emoji15][emoji15][emoji15] Ngoja nije huko maana naona mnajigamba sana hapa.mimi ndiye niliyekuchakaza 3 uka leave, poweram
Dah! Hii dalmax checkers nimeitafuta mno kwenye App Store ya iOS sijaiona, sijui litakuwa na jina lingine. Turkish rules naikubali mno!Rangi nyekundu ndie mm na kosa nlilofanya ni kupandisha kete ya juu kulia ili kuwahi kingi. Ile kete sio kosa,kosa ni kete ya kushoto kuto kulisha bure au kubadilishana. Drafti liliisha hapo hapo.
View attachment 1990353
Simu yako ni ya aina ganiDah! Hii dalmax checkers nimeitafuta mno kwenye iOS sijaiona, sijui litakuwa na jina lingine. Turkish rules naikubali mno!
We dogo kakande maandazi...jina langu Ni hili hili...njoonipate wasaa nichungulie uko nikukamate pimbi wewe, michezo 3 zuia sare
haha baadaye ntaingia, naona unakula kichapo mda huu, uwezo mdogoWe dogo kakande maandazi...jina langu Ni hili hili...njoo
Ww na poweam mbanikimbiaWe dogo kakande maandazi...jina langu Ni hili hili...njoo
Mbona naona itakuwa drawNdiyo hivyo. Ukisogea mbele anakupa kete tatu hadi kingi. Kisha anaingia. Unakula kete mbili kwa kingi na yeye anakuzunguka ila kingi yake inakufa. Anakuwahi kuingia kingi, goli.
We mi ntakuuaWw na poweam mbanikimbia
Sijafungwa na ndezi yeyotehaha baadaye ntaingia, naona unakula kichapo mda huu, uwezo mdogo
hapa ilitakiwa hiyo nyekundu uisogeze major ili aingie king kwa lazima
Hiyo tu imetokea,kusema ingekuwa unapost alyokupga yy basi naamini usinge post hii screenshotMbona mimi nampiga tuView attachment 1991548
Naenda kwenye draft saiz yeyote asiefungwa aje kwa jina langu, frustration. Poweram natangaza vita zidi yakoWe mi ntakuua
Siyo mchezo mpya bali ni kete unazobakiwa nazo kwenye mchezoKatika vitu nimeshindwa elewa ni aina za michezo mimi huwa nasukuma kete tu, na nimesikia kuna mchezo mpya unaitwa kete tatu
Unakimbia kimbia sana ila mwisho wako upo.Sijafungwa na ndezi yeyote