Namna Faza Nelly alivyouawa kwa kuchomwa visu 9

Unaweza kutoa uthibitisho?
Prof J alikuwa akisoma Lutengano, Tukuyu wilayani Rungwe, kuna sehemu yoyote tunaweza kufanya exactly tracing ya kuanzishwa kwa HBC?
Prof J alijiunga HBC, hakua miongoni mwa waanzilishi. HBC imekuwepo toka enzi za Diplomatz na wengine. Mwaka 1999 kuelekea 2000 (mwaka waliotoa album yao ya Funga Kazi) ndipo HBC na Prof J walipoteka nyoyo za Mashabiki kwa track ya Chemsha Bongo ambapo ilifungua rasmi ukurasa wa Rap na Bongo fleva Tanzania.

Ukisoma articles, X Plastaz inaonekana ilianzishwa mwaka 1996 ingawa wengi waliifahamu miaka ya 2002/2004 kupitia ngoma zao kama AHA, Ushanta, Bamiza nk. Jamaa walikuwa na website iliyonyooka sana, walikua advanced.
 
Miaka hio walikua na website? basi walikua ahead of time
 
Fid
Katika mwanza mwanza fid q anasema alianza rap kabla sugu hajatoa album, sasa jiulize sugu album ya kwanza katoa lini na fid tumemsikia lini?

Kwa kazi, wengi tumeanza kuwasikia HBC kabla ya X plastaz.
 
Kwa jina la Yesu kila goti lipigwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…