Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Isije ikawa ni mke wako mkuu.
 
Umenena vyema. Wanawake chenga sana, ila ukipata smart hadi mtoto anakutunuku na hakuna mwingine anajua zaidi yenu wawili
 
Umenena vyema. Wanawake chenga sana, ila ukipata smart hadi mtoto anakutunuku na hakuna mwingine anajua zaidi yenu wawili
Exactly.

Na kiukweli wake za watu wanaliwa sanaa tu kuna watu wamedumu na mke wa mtu kuliko hata mumewe.. unakuta we mkeo mna miaka mitano ya ndoa ila kuna mwamba anamla miaka 8 na zaidi na hujui chochote na maisha yanaendelea kama kawaida.. Hao wanaokamatwa ni asilimia 0.1 tu.
 
Kwakifupi unachofanya siyo cha kistaarabu kitakurudia nawewe utachapiwa, what goes around comes around
 
Asipojua leo kesho atajua kifuatcho ni laana kwenye maisha yako pindi watoto wake wakiteseka kwa kukosa malezi ya wazazi wawili yale maumivu ndio laaana kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…