Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
You better stop that bullshit, fikiria what will be the end of hayo mahusiano? Halaf simama kwenye viatu vya jamaa?Mko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Mume wangu si wewe au unajisahulisha mahi lavu πΉNa mumeo yupo JF
Sio Mchezo Mama chanja ππMume wangu si wewe au unajisahulisha mahi lavu πΉ
Binafsi simwamwin binadamu mwenzangu linapokuja suala la maamuzi ya akili ama hisia.Nina mfano hai hapa juzi tu nimeshuhudia. Sikuamini yaani maana huyo mama ukimuona wanavyopendana na mumewe na watoto wao. Perfect family yaani kumbe mama (39 na bonge la Supa dupa yutong) anaburuzwa na dogo mmoja wa miaka 30 tu...Ndoa hizi mhhh!
Sio Mchezo Mama chanja [emoji23][emoji573]
Leo umeniamulia[emoji81][emoji81][emoji81] utajua hujui
ngoja watu wakupasulie yaiMko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Wewe kwa upande wako unaweza ukawa smart kabisa ila shida kwa huyo mwanamke hawanaga akili hao lazima utadakwa tu kupitia kwakeMko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakikisha kila unapokuwa nae uwe na mafuta ya baby care kama dharura, maana ukidakwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jifanye shoga
Leo umeniamulia
Njoo tuongelee chumbani π₯ΈNimekutolea uvivu
Njoo tuongelee chumbani π₯Έ