Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

Mko poa humu watu wa mapenzi?

Nina mahusiano na mke wa mtu.

So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?

Muwe na jioni njema.
You better stop that bullshit, fikiria what will be the end of hayo mahusiano? Halaf simama kwenye viatu vya jamaa?
 
Nina mfano hai hapa juzi tu nimeshuhudia. Sikuamini yaani maana huyo mama ukimuona wanavyopendana na mumewe na watoto wao. Perfect family yaani kumbe mama (39 na bonge la Supa dupa yutong) anaburuzwa na dogo mmoja wa miaka 30 tu...Ndoa hizi mhhh!
Binafsi simwamwin binadamu mwenzangu linapokuja suala la maamuzi ya akili ama hisia.
Hii imenisaidia sana ktk mauhusiano niliyopitia.
 
Tembea nae tu, ukikamatwa uje hapa tukupe ushauri hapa.

Naona unatafuta namna nzuri yakufanya kitu kibaya.....
 
Haiwezekani ,ni swala la muda tu utakuja kujulikana ,na ukikutana na mmewe mstaarabu ataachana na mkewe ili uishi nae wewe ila ukikutana na mme mshenzi jiandae kuliwa "kiboga" so kama walivyoshauri wadau tembea na KY Jelly,parachute au mnara kwa ajli ya usalama wa "SFINTA".
 
Ushauri bora zaidi.

miliki silaha hasa ya moto ( bunduki ) ili kuweza kumdhibiti adui yako, kwanza unajiamini na ikitokea fumanizi usishtuke jipange kumshoot adui yako. 😃😃😃😃😃
 
1.u c save namba yake wala yeyeam a c save ya kwako.
2.usithubutu kwenda kulala kwake ata cku moja ata akikwambia mme wang kasafir.
3.u c chat nae sms za mapenz mfano hi baby au mambo mpnz wang.
4.u c pige simu labda yeye apige.
 
Namna-Smart ni kumla tu huyo mke wa mtu na baada ya hapo, muda wowote, muda wote nyakati yeyote na mahala popote undapo hakikisha unatembea na kikopo cha mafuta chenye mafuta,

Kwasababu wewe hauna Natural lubricant, hivyo utaipunguzia maumivu sehemu yako ya haja kubwa kwa kumpa kikopo hicho mwenye mume wa huyo mke siku akikubana, maana haito julikana muda wala saa, watakuwa wangapi na wamedhamilia kwa ukubwa gani.

Chukua ushauri huu.
 
Back
Top Bottom