Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Jinzi kali kali bei ni 16 mapaka 22 hizi mtaani unauza 25 mpaka 35. Winga anaishi kati hapo. Majengo ya kariakoo karibu yote mtaa wa mchikichi na Mafia hasahasa jengo la MCHIKICHI COMPLEX wanauzaga jinzi hadi za elfu 11 na 12 pale. Mawinga wanaishi nazo kwa 14 mpaka 15.

10. Unataka kuuza viatu vikali nenda mtaa wa narungombe na Congo pale. Hapo kuna maduka ya wachina wanauza boksi la Converse pair 24 kila pea moja elf 12 tu. Maduka mengine yote kariakoo yanauza elfu 20 mpaka 25 zile nyeupe. Nenda pia shamba la bibi kule Narungombe na Likoma/msimbazi karibu kabis na stendi ya mabas ya mwendokas msimbaz B.

Huko ndala na viatu kila aina buku 5, 6 mpaka 12 unauza mtandaoni vizuri kabisa.

Unawez kutenga japo elfu 50 kwenda kununa sampo za kuanza kurusha mtandaon. Mtu akitka anakutajia namba analipa unaenda kumchukulia.
 
SIENDELEI MPAKA TITLE IRUDISHWE ILE MM SIJAANDIKA DEFINITION HIYO KUWA TITLE
Moderator MTAMALIZIA HII MADA
Hawa wanaharibu mada kabisa.
Mkuu swali la kizushi, kwa mfano nkiamua kwenda kwenye haya machimbo kuchukua tu mzigo wangu binafsi wa kuvaa na kupendeza, ntauziwa these same prices au napo ntauziwa bei ya Juu?
Au huku kote ni mzigo mkubwa wa jumla pekee?
(Nauliza kwa hisani ya watu wa mikoani)
 
Hawa wanaharibu mada kabisa.
Mkuu swali la kizushi, kwa mfano nkiamua kwenda kwenye haya machimbo kuchukua tu mzigo wangu binafsi wa kuvaa na kupendeza, ntauziwa these same prices au napo ntauziwa bei ya Juu?
Au huku kote ni mzigo mkubwa wa jumla pekee?
(Nauliza kwa hisani ya watu wa mikoani)
Ohke, gotcha
Bidhaa za kariakoo NYINGI zinauzwa jumla kuanzia tatu (3) hili utalikuta kwenye tisheti na gauni. Hapo utakuta tishet bei ya reja ni elfu 15 na ukichukua tatu ni elfu 10 tu. Gauni nyingi ni 22, 25 mpaka 35 ukichukua tatu. Usipofikisha tatu pea hiyo lazima itaongezeka kama elf 5 hiv kwa mana itakuwa ya rejareja

Kuna nguo breakout yake ni nguo pis 5 hasa jinzi, neti na baadhi ya maduka kwenye gauni nk. Kuna nguo pis 10 hasahasa shuka, nguo za ndani yani (set), kuna baadhi mpaka uchukue dazeni hasa chupi na sididria kwemye naduka ya jumla kule sikukuu na mchikichi.

Bei ya jumla hainaga negotiation , lakin jumla huanziaga pis 3 kwa kwa wale wanaovaa. Lakin ukikutana na maduka yanayouza kuanzia pis 10 kama jumla huwez kuuzia chini ya 10 kwa bei ya jumla.
 
Ohke, gotcha
Bidhaa za kariakoo NYINGI zinauzwa jumla kuanzia tatu (3) hili utalikuta kwenye tisheti na gauni. Hapo utakuta tishet bei ya reja ni elfu 15 na ukichukua tatu ni elfu 10 tu. Gauni nyingi ni 22, 25 mpaka 35 ukichukua tatu. Usipofikisha tatu pea hiyo lazima itaongezeka kama elf 5 hiv kwa mana itakuwa ya rejareja

Kuna nguo breakout yake ni nguo pis 5 hasa jinzi, neti na baadhi ya maduka kwenye gauni nk. Kuna nguo pis 10 hasahasa shuka, nguo za ndani yani (set), kuna baadhi mpaka uchukue dazeni hasa chupi na sididria kwemye naduka ya jumla kule sikukuu na mchikichi.

Bei ya jumla hainaga negotiation , lakin jumla huanziaga pis 3 kwa kwa wale wanaovaa. Lakin ukikutana na maduka yanayouza kuanzia pis 10 kama jumla huwez kuuzia chini ya 10 kwa bei ya jumla.
Vipi upande wa Crocs soko lake likoje jumla na rejareja
 
Winga akishajua mitaa lazima aenende hapo na kupitia maduka kadhaa kuomba kuadiwq kwenye groups ili kuona bei kila siku aweze kuposti kwa wateja wake. Ni mchakato mum kias chake ila kwa wataoenda maduka ya shuka huko livingstone na aggrey kwa mwangala wamwambie "ticha Mongi" nimewaelekeza kwake watakua wanauza wao ni mawinga.

Na kwa kadiri utakavyohitaj msaada nicheki hapa hapa nitakusaidia kwenye hatua hii ya Uthubutu ili iwezekane.

Winga mqemye netwok nzuri hawez kosa pesa ya kula wala kodi, atakosa utajir tu. Lakin siri kubwa ni uaminifu na utayari wako.. wateja wengi wa mikoani wanafika kariakoo lwq kuwatumia hawa jamaa. Wanawalipa vizuri tu na wanaunganisha na wateja wapya kila siku
 
Vipi upande wa Crocs soko lake likoje jumla na rejareja
Crocs zinatofautiana sana kuna crocs zinzuzwa elf 6 mtaani, ninyeboyebo laini na kuna crocs zina cheni na nakshi wanavaa sana wanawake hizi kariakoo wanauza elfu 13 mpaka 16 kutegemea na upepo wa soko. Hivi viatu vinanunuliwa kwenye Kiroba chenye pea kama 40 hiv.

Kuna wachina wanakujaga asubuhi na magari wanauza ule mtaa wa lipoma na tandamti kule. Nadhan asubuhi unakutna na jamaa wanavuka barabara na viroba kichwani pale mtaa wa msimbazi standing ya mwendkos msimbaz B?. Wafate wanapoenda kuchukua

Na mara nyingi faida pale inarange kati ya 2500 hadi 4000. Kwa viatu kama unafanya biashara madukani pale wana bei pungufu 1000 nzima kufananisha na wale wenye meza nje pale
 
Back
Top Bottom