Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

POINTA
mnunuzi wa nguo nzuri katika duka la jumla ili akauze rejareja. Hawa wanaitwa pointa sababu wana sifa ya kuchagua kupita maelezo. Ni jina common sana kwa wauza mitumba hasa ilala boma na karume, sijajua masoko mengine wanajulikana vipi.

Pointa kama mfanyabiashara anatokea kama mteja kwa mtu anaefungua belo la mtumba. Pointa huchagua nguo kali kwa muuza mitumba, na kawaida ya pointa huchagua icon au huwa na identity yani anatengeneza wateja wake wa nguo za aina flani. Kama una uzoefu na vijana wanaouza nguo barabrani kwa kusimama au nje ya jengo la China plaza kuna vijana wengi sana pale wamepiga pasi nguo zao wanauza. Hii kazi hata Kontawa alishafanya na nikiri nilishawahi kumuona kipindi anajitafuta
Pointa wa mitumba ni kesi pana sana. Katika mada hii nitazungunzia experience yangu ilala, kipindi nauza mitumba ilala pointa ni mteja mkubwa sana kwa sisi wafungua belo. Pointa hanunui nguo sehemu moja lakinj pia pointa hawq wako wa aina mbili

1. Pointa anaedhamini belo
Huyu hatak kashkash, anapatana na mfungua belo kuwa kila nguo nzuri atachukua yeye na mwisho atazilipia zote kwa "fixed price" yani kila moja elfu tano mf. So last atahesabu alizopat kama 20 mara 5 analipia huyu hana mpinzani na sehem ukimkuta huyu lazima ukae pemben mana nguo nzur zote anachukua yeye. Atskazorudisha ndo mnachukua wengine

2. Pointa asiye mdhamin belo
Huyu hapatani mwanzoni na mfugua belo yeye atagombea na wenzake nguo na kila atakayepata atalipia alizopata. Maeneo kama haya mivutano huwa mikubwa Mpaka kushikana mashati na matusi juu. Kuna maeneo belo likifunguliwa linatupwa katikati aliyekitupa anakaa pembeni muuane wenyewe kwa wenyewe (hasa karume)
Haw pia wanajaa sana sehem za minada, sehem mbazo nguo hunadishwa na kupandiana bei

Incase of gender stereotype... pointa akiwq mwanamke achague kudhamin belo mana hii nyingine ina mtihani na mbaya zaidi hizi biashara ni male dominated
 
DoKEZO
Kama utadhamin belo kwq mwanamke au mwanaume grade one jinzi bei ni elfu 8 kila moja. Kali hata 25 unauza, na skin jinz huwaga elfu 6. Kuna wengine Wanafungua belo grade 2 hawq jinz zao bei rahis sana ni kati ya elfu 3 hadi 5. Tisheti grade 1 ni elfu 5 zile kali kabis ambazo huuzwa na vijana China plaza. Nyingine elfu 3. Na uzuri wa pointa huwa na memory nzur mnoo kila nguo anakumbuka amenunua kias gan

Blauzi bei yake nj elfu tatu (shifoni), shati ni elfu 8 grade 1, grade 2 ni elf 4 mpak 5, bukta kali za ndani ni elf 4 mpaka 5, taulo elf 5 shuka ni katibya elf 9 mpaka 14 japo kunatokeaga King size zinauzwga mpaka 40+

Baadhi yao huitembeza nguo mtaa kwa mtaa, wengine hupiga pasi na kuweka dukani "GOLINI", wengjne huamua kuuza mtandaoni.. nk kama kuja njia nzuri ya wewe kufanya njia moja wapo ni vizuri. Wanaopata pesa nyingi ni wale wanaosimama kando ya barabara kubwa jioni kuwauzia watu wanaorudi makazin. Hawa kila stendi kubwa Daresalam hii utawqkuta huanza saa 9 i
jioni hadi sita usiku ,kasoro makumbusho sijawahi kuwaona (especialy hawa wa nguo).
 
Ukiwq pointa
1. Chagua brand kali mtumban kama balenciaga, starWar, Adidas, champion,

2. Kagua nguo sana kwenye maungio mana shati nyeupe kwemye kwapa huia madoa sugu, jinzi huweka michubuko katikati ya mapaja, tisheti huwa na tabia ya kutanuka kwa kola/shingo pana.

3. Jitahid kufatilia mitindo ya kisasa ya uvaaji na kuelew watu wanaokuzunguka wanavaaje vaaje mf. Watu wazima na vijana wasomi na matisheti ya form six ni Pete na kidole

4. Nguo iliyokaguliwa na watu kadhaa na kurudishwa ina kasoro nyingi itakusumbua huko unakoenda achana nayo

5. Usishjndane bei na mtu aliyeonesha kushindana na wewe kila muda anakupoteza hasahass kwenye minada
 
Hii Kazi sio rahisi

Hasara ongezea Winga wengi wanaogopa Askari wakikujua Wewe ni Askari wanaishi na Wewe kwa mashaka sana maana muda wowote kinanuka
Winga akiwa mzoefu anakuwa na askari wake kadhaa kituo karibu na anakofanyia kazi, likely ndio utaenda kumshitaki hapo. Kwahiyo ukifika na kesi nae utasikia "aah kumbe huyu".
Na mara nyingi tu winga anaingia matatani na polisi bila kudhamiria au kukusudia kufanya kosa ila wengine wanakuwa na makosa.

Winga ukichukua hela ya mwanajeshi kula faida kubwa alafu mpe kitu kizuri. Wana tabia ya kuitana na kuleta wateja wapya. Ila hawana muda wa kufuatilia sana kama bidhaa mbovu, hivyo wanakuja na makofi juu na kuchukua hela. Winga muda wa kupata hela ni wanachuo wakianza. Wengi hutoka vijijini uko na boom linakuwa na mahesabu kama pensheni; kuvaa humohumo, kuhonga, kununua electronics, etc na winga wa sekta nyingi wanaguswa nao.
 
Na Mwalim M. A, Mkombozi (Kalaga baho)

Kanusho : Hakuna mgogoro wowote wa kimaslahi utakaojiyokeza kwenye darasa hili endelevu. Ushauri utatolewa bure kabisa na hakuna nia ya moja kwa moja ya kuumiza hisia ya mtu.

Asee niaje? Wazee mpo??
Ni vyema kwa kias chake kuendelea kumwaga nondo na kushea uzoefu katika mapambano kwa vijana wenzetu. Kuendelea kupeana maujanja na michongo ili tuendeshe gurudum la maisha. Ni katika harakati tu za kujikwamua na kujitegemea, juhudi za kuusaka utajiri badobado!.. Ofkoooz ni jambo linalotia moyo, na kupendeza sana!

Leo, kalaga baho ninazungumzia machache sana, japo mengi kwa kadiri ya uchache utakaofikirika. Yote yatahusu kona mbili tu yani 1. "Uwinga kariakoo", 2. "Pointa Ilala boma" na yote mawili yatabeba dhima ya kumsaidia kijana walau kuanza kuthubutu kufanya jambo.

Niliwahi kuzungumzia kuhusu mitumba- uzoefu wa ilala boma 2018-2021, na nina uzoefu wa uwinga kariakoo. Vyote kwa pamoja nitashea humuhumu.

1. WINGA
Winga ni mtu kati, dalali anayeuza kitu cha mwingine kwa bei juu ili apate chochote "ganji". Winga huwepo masoko yote makubwa yanayouza nguo, simu au bidhaa ambazo si chakula kilichopikwa. Hata chakula katika mfumo wa nafaka winga huwepo. Madalali hawa wanakabidhiwa mizigo wauze ili wapeleke hesabu.. wengine hupeleka wateja na kupewa ganji na muuza duka. Ni wazuri sana kwa wauzaji mana wachangamfu na wanauza kweli, wabaya kwa mteja mana huwa na bei juu sana. Huwa na sifa ya kubambikia wateja vitu vibovu. Mawinga ni wengi sna Kariakoo, Ilala, Manzese, Tandika,Mbagala na karume. Kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia mawinga wanatumia mitandao ya kufanya biashara zao. Wanaunda magroup wasap na kubust matangazo Instagram. Uwinga ni pesa, kazi na fursa kama zilivyo nyingine.

Shida ya mawinga
1. Ulevi na anasa, wengi huwa hawaon cha maana cha kufanyia pesa wanayopata. Ilala yote ile mawinga ni walevi walevi na vijana wasioleweka tu.
2. Dhulma na ujanja ujanja
Hakuna watu ambao hawafai kuaminiwa kama hawa jamaa. Mkiuza kitu mgawane hapohapo mana ukitoa kisogo umekwisha. Pia wajanja sana, huwez kutoa gepu hata kidogo mana waharibifu
3. Winga wanauza kila kitu kwa bei juu.
4. Ugumu ulipotiliza kukua kibiashara kama mfanyabiashara. Yani winga wote wanasafa kukuza biashara zao mana hawana uwezo wa kupeleka wateja dukan.. wanapoteza wateja kila leo kwa sabab ya kufika dukani tu

Uzuri wake
1. Exposure ya biashara, kujua bei na machimbo
2. Haihitaji mtaji, hupati hasara wala hulipi kodi.
3. Networking na kukua kiujuzi
Mawinga wanalipa kodi?
 
DoKEZO
Kama utadhamin belo kwq mwanamke au mwanaume grade one jinzi bei ni elfu 8 kila moja. Kali hata 25 unauza, na skin jinz huwaga elfu 6. Kuna wengine Wanafungua belo grade 2 hawq jinz zao bei rahis sana ni kati ya elfu 3 hadi 5. Tisheti grade 1 ni elfu 5 zile kali kabis ambazo huuzwa na vijana China plaza. Nyingine elfu 3. Na uzuri wa pointa huwa na memory nzur mnoo kila nguo anakumbuka amenunua kias gan

Blauzi bei yake nj elfu tatu (shifoni), shati ni elfu 8 grade 1, grade 2 ni elf 4 mpak 5, bukta kali za ndani ni elf 4 mpaka 5, taulo elf 5 shuka ni katibya elf 9 mpaka 14 japo kunatokeaga King size zinauzwga mpaka 40+

Baadhi yao huitembeza nguo mtaa kwa mtaa, wengine hupiga pasi na kuweka dukani "GOLINI", wengjne huamua kuuza mtandaoni.. nk kama kuja njia nzuri ya wewe kufanya njia moja wapo ni vizuri. Wanaopata pesa nyingi ni wale wanaosimama kando ya barabara kubwa jioni kuwauzia watu wanaorudi makazin. Hawa kila stendi kubwa Daresalam hii utawqkuta huanza saa 9 i
jioni hadi sita usiku ,kasoro makumbusho sijawahi kuwaona (especialy hawa wa nguo).
Belo la mtumba ni bei gani jumla na linakuwa na pieces ngapi
 
Mnama, Mtu anatakiwa awe na biashara gani Mpaka alipe kodi?
Biashara rasmi lazima ilipe kodi, nadhani inafaham mchkato wa urasimishaji wa biashara. Eneo maalum, kusaijiliwa and so .. yani formalisation process. Winga anatokea kama kijana mdogo kibiashara chini ya machinga.. kama machinga ambae ana nafuu ya winga halipi kodi vipi winga?

Kuna shughuli yoyote ya informal sector inayotakiwa kulipa kodi?
 
Nenda kitumbini pale opposite na LAtra, utapata beli grade A na bei zake, zinaanzia laki 6 mpaka milioni kutegemea na nchi. Wakorea viatu vyao vidogo havina soko, ukipata beli la mkanada ama marekanni vitu vyao ni quality sana.
Yesss..... na katika pieces ungespecify belo za nguo gani au bidhaa gani
 
Biashara rasmi lazima ilipe kodi, nadhani inafaham mchkato wa urasimishaji wa biashara. Eneo maalum, kusaijiliwa and so .. yani formalisation process. Winga anatokea kama kijana mdogo kibiashara chini ya machinga.. kama machinga ambae ana nafuu ya winga halipi kodi vipi winga?

Kuna shughuli yoyote ya informal sector inayotakiwa kulipa kodi?

Acha utodoo[upuuzi].
Income Tax Act, 2005 , kifungu cha 4 kinasema "kila pato" yaani every income is subject to tax, sasa wewe unataka kubishana na sheria ya Nchi?

Winga ni kama dalali, ana hela nyingi kuliko machinga.
Simu ya 200,000/- dukani winga anaiposti anasema 250,000/- .
anaichukua anapata 50,000/- faida na kumpatia mwenye duka 200,000/-.
Mwenye duka akitoa kodi, pango, mishara , usafiri na service charg anapata faida ya 30,000/-[Mawinga walipe kodi]
 
Acha utodoo[upuuzi].
Income Tax Act, 2005 , kifungu cha 4 kinasema "kila pato" yaani every income is subject to tax, sasa wewe unataka kubishana na sheria ya Nchi?

Winga ni kama dalali, ana hela nyingi kuliko machinga.
Simu ya 200,000/- dukani winga anaiposti anasema 250,000/- .
anaichukua anapata 50,000/- faida na kumpatia mwenye duka 200,000/-.
Mwenye duka akitoa kodi, pango, mishara , usafiri na service charg anapata faida ya 30,000/-[Mawinga walipe kodi]
Informal sector mkuu ni exceptional cases automatically. Au unajua rationality ya kuwqkimbiza wamachinga kipind tofauti na kile vha temporal law recognition cha magufuli mpaka wakaachwa?

Unajua kwa nn walipewa kitambulisho kwa kukilipia? Unajua kwa nn informal sector except urban farming mjini kinapelekewa moto na mamlaka kila leo? Mana hii unaisema ni sheria ambayo inataliwq itekelezwe na kila mhusika lakin formalisation lazima usajili biashara brela ili ulipe kodi kihalali. Je winga aksajili biashara gan?
 
Wale jamaa wanaoenda na wafanyabiashara wa bongo china na kwenda kuwa wazungumzaji. Aisee ule mchongo kwa kijana ambaye bado mdogo kiasi asome kichina tu uwinga nje nje
hivi pamoja na uwepo wa AI bado kuna watu wanafanya kazi ya translation???
mana hata samsung S24 inauwezo wa kutafsiri lugha sa kwa nn mtu amlipe translator wakat kuna software nyng tu za kutafsiri lugha?
 
Informal sector mkuu ni exceptional cases automatically. Au unajua rationality ya kuwqkimbiza wamachinga kipind tofauti na kile vha temporal law recognition cha magufuli mpaka wakaachwa?

Unajua kwa nn walipewa kitambulisho kwa kukilipia? Unajua kwa nn informal sector except urban farming mjini kinapelekewa moto na mamlaka kila leo? Mana hii unaisema ni sheria ambayo inataliwq itekelezwe na kila mhusika lakin formalisation lazima usajili biashara brela ili ulipe kodi kihalali. Je winga aksajili biashara gan?
Naomba Exceptional ya section 4 ya ITA, 2004? short of which ni bla bla, lets talk law.
Acha siasa za wanasiasa , talk of law.
 
Back
Top Bottom