Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Nimefanya uwinga miaka takribani mitatu na hadi leo huwa nafanya sijawahi kukutana na polisi. Wewe umekutana nae vipi mkuu tuelezee?
Kuna wale wanauza TV used mbovu zilizopita kwa mafundi yaan TV body inasoma LG Ila ukiiwasha sio LG ogopa sana niliuziwa Simu kitochi toka kwenye box kabisa Ila ni used walichokofanya wale Wahuni ni kubadirisha Jumba tu la Simu wakaweka Jumba Jipya Ila ndani Simu used imechokonolewa kwa fundi mbaya sasa nafika home kitu chaji haipeleki hapo ndipo walipofeli alafu niliporudi nikatupia na kiatu changu cha kazi walipoona kiatu nilipewa Simu mpya halali kabisa sealed haijachezewa popote
 
Kuna wale wanauza TV used mbovu zilizopita kwa mafundi yaan TV body inasoma LG Ila ukiiwasha sio LG ogopa sana niliuziwa Simu kitochi toka kwenye box kabisa Ila ni used walichokofanya wale Wahuni ni kubadirisha Jumba tu la Simu wakaweka Jumba Jipya Ila ndani Simu used imechokonolewa kwa fundi mbaya sasa nafika home kitu chaji haipeleki hapo ndipo walipofeli alafu niliporudi nikatupia na kiatu changu cha kazi walipoona kiatu nilipewa Simu mpya halali kabisa sealed haijachezewa popote
Ulinunua kwa kishoka au dukani? Mm hizi experience ndo nasikia kwako. Kuna ghorofa pale chimbo linauza simu bei nzur kabisa Aggrey na Likoma kuna ghorofa mpya pale ina mishemishe sana
071625540.. namba ya mwisho nakutumia inbox.

Uende dukani kwake usimtumie hela ukaanza kunisumbua
 
Mpaka upate kandarasi sasa kwenye hizo hotel
Zabuni.. hizi ni sare ambazo mpishi ananunua mwenyewe kule uhitaj wa crocs hasa nyeusi na dark grey ni mkubwa mkuu muhimu ni kutengeneza brand na kufika mazingira husika hasa Nungwi, paje, Na kuna kituo kinaitwa Saateni unajikita humo
 
Ulinunua kwa kishoka au dukani? Mm hizi experience ndo nasikia kwako. Kuna ghorofa pale chimbo linauza simu bei nzur kabisa Aggrey na Likoma kuna ghorofa mpya pale ina mishemishe sana
071625540.. namba ya mwisho nakutumia inbox.

Uende dukani kwake usimtumie hela ukaanza kunisumbua
Au ongezea nane mwishoni hapo alafu uwasiliane nae
 
Kuna watu wanatakaga mazulia watayapata mtaa wa Narungombe na Sikukuu mkabala na duka la CRDB Bank duka limeandikwa jina la Amal home, hapo zamani kulikua na mchina anauza shuka kwa elf 12 tu tena ni 6*6 nowadays amehama. Na alikuwa na neti za 120k yeye anauza 100k tu.

Ukitaka kuwa winga usiogope mitaa, nakshi kama hereni, saa cheni n mikufu, bracelets utazipata sikukuu na mahiwa kule lilipo duka la mtoro. Kuna jamaa ana duka maaruf linaitwa WARIOBA. hapo utapata saa kama Rado feki zile kwa elf 15 tu bei ya dazeni. Machinga wanauzaga elf 25 mtaani huku. Hapo saa zote bei nafuu sana (makutano ya Mahiwa na Mchikichi)

Mawinga pia na mapointa wananinua vyeni kwa biki 4 na 5 mazingira hayo na pia pafyum zinapatikana hapo. Siwez kuelezea vyote in details mana sijawah kuwa winga wa kila kitu. Ila hapo kuna duka linauzwa pafyum ambazo kariakoo nzima mnanunua bei ya jumla 3500 kwa elfu 2500 tu..
 
UTOFAUTI WA POINTA NA WINGA
1. POinta anatoa pesa yake mfukoni, anachagua kitu kizuri ananunua na kwenda kuuza wakati winga hatoi hela mkononi, winga huwa anauza maneno mpaka mteja alipie bidhaa ndipo akamnunulie.
2. Pointa ni steji nzuri sana kibishara inakuza mtaji, inakuza network inakuweka ukaribu na wafanyabishara wemzako na wanunuzi
3. Winga hawez kukua kibiashara/haweki pesa hana hasara wala hana makaz maalum
4. Pointa ni njia sahihi ya kukuza mtaji na kuaminika

MFANANO
1. Uchangamfu
2. Kujua bei na hitaj la bidhaa husika kulingana na mtu na mtu
3. Wote ni wafanyabiashara wadogo wenye hulka ya kukuza brand zaidi na wepesi kuhama duka kulingana na bei husika kwa kadri wanvyopata unafuu wa bei

ADVANCED WINGA
kumeuibuka baadhi ya watu wakidai kuwa wanakuagizia bidhaa nje ya nchi eidha China kwa bei nafuu. Hawa wanaagiza mizigo mikubwa ili wapate bei nzuri lakin pia wanaweka faida ndogo sana kila pis. Watu wengi wanavutiwa na hili mana hawaweki pesa zao kuagiza. Unalipia ndipo uagiziwe. Hawa hawanaga bei ya USAFIRI specific, mzigo ukifika wanakupigia bei ya kusafirisha ndo ulipie. Ni too risk mana muda mwingine kuna namna ya anguko l kibiashara likitokea hawawez kukava hasara kwao na kuishia kutaka kugawana hasara na kila alieagiza kwao.

Wanakuaga na madeni hawq jamaa sio poa

ADVANCED POINTA
Hawa huwa na mitaji midogo, wanaweza kulipia mzigo kidogo ambao ni mzuri na wakaomba kupewa mara mbili ya walicholipia kwa mali kauli. Wakiuza hela wakalipe, hawa hata kariakoo watu waliokodi from ni wengi sana. Wanagewa mizigo ya watu wauze.. kariakoo ni ya wachache sana ile wengjne wanauzaga mizigo ya watu.
 
UTOFAUTI WA POINTA NA WINGA
1. POinta anatoa pesa yake mfukoni, anachagua kitu kizuri ananunua na kwenda kuuza wakati winga hatoi hela mkononi, winga huwa anauza maneno mpaka mteja alipie bidhaa ndipo akamnunulie.
2. Pointa ni steji nzuri sana kibishara inakuza mtaji, inakuza network inakuweka ukaribu na wafanyabishara wemzako na wanunuzi
3. Winga hawez kukua kibiashara/haweki pesa hana hasara wala hana makaz maalum
4. Pointa ni njia sahihi ya kukuza mtaji na kuaminika

MFANANO
1. Uchangamfu
2. Kujua bei na hitaj la bidhaa husika kulingana na mtu na mtu
3. Wote ni wafanyabiashara wadogo wenye hulka ya kukuza brand zaidi na wepesi kuhama duka kulingana na bei husika kwa kadri wanvyopata unafuu wa bei

ADVANCED WINGA
kumeuibuka baadhi ya watu wakidai kuwa wanakuagizia bidhaa nje ya nchi eidha China kwa bei nafuu. Hawa wanaagiza mizigo mikubwa ili wapate bei nzuri lakin pia wanaweka faida ndogo sana kila pis. Watu wengi wanavutiwa na hili mana hawaweki pesa zao kuagiza. Unalipia ndipo uagiziwe. Hawa hawanaga bei ya USAFIRI specific, mzigo ukifika wanakupigia bei ya kusafirisha ndo ulipie. Ni too risk mana muda mwingine kuna namna ya anguko l kibiashara likitokea hawawez kukava hasara kwao na kuishia kutaka kugawana hasara na kila alieagiza kwao.

Wanakuaga na madeni hawq jamaa sio poa

ADVANCED POINTA
Hawa huwa na mitaji midogo, wanaweza kulipia mzigo kidogo ambao ni mzuri na wakaomba kupewa mara mbili ya walicholipia kwa mali kauli. Wakiuza hela wakalipe, hawa hata kariakoo watu waliokodi from ni wengi sana. Wanagewa mizigo ya watu wauze.. kariakoo ni ya wachache sana ile wengjne wanauzaga mizigo ya watu.
Hongera mkuu

Mpaji Mungu njoo huku kamanda.
 
Mifano dhahiri
1. Kalaga baho kuna kipindi flani hiv nlikwenda kariakoo sina Dira. Kuna bimama mmoja hiv mshangaz jeupe lina tako kama kilo 8 hiv. Lilinipiga sound litanifungulia duka kariakoo pale mchikichi na swhili niuze shuka na pazia. Basi nikajikamua pale tukafika machimbo yote akaafiki. Sasa siku ya kwanza naenda kZin nikakutana na bidada ana tako nae la kibabe nikajikomba komba nikaenda nae dukani. Kuvimba kama kote.. yule mdada alichukua pazia kama za laki 6 hiv bos akapiga faida kama 80 hiv. Nkachukua namba

Kuna kipind yule Bi mkubwa tukakorofishna kila mtu akala kona yake. Yule bidada wa pazia akanitafuta kuwa mdogo wake anakuja kuchukua mzigo wa pazia, nikamdaka juu kwa juu nikaenda nae kwa mchina. Nikavimba Bi dada akavhukua mzigo kama wa million na laki 6 hiv nkachinja udalali laki mbili na kumi na tano ndani ya masaa machache. Nkaingia zangu kinondon mm kula vitu vizur vizur na siku ya pili nikaamka na elf 70 tu
 
POINTA
mnunuzi wa nguo nzuri katika duka la jumla ili akauze rejareja. Hawa wanaitwa pointa sababu wana sifa ya kuchagua kupita maelezo. Ni jina common sana kwa wauza mitumba hasa ilala boma na karume, sijajua masoko mengine wanajulikana vipi.

Pointa kama mfanyabiashara anatokea kama mteja kwa mtu anaefungua belo la mtumba. Pointa huchagua nguo kali kwa muuza mitumba, na kawaida ya pointa huchagua icon au huwa na identity yani anatengeneza wateja wake wa nguo za aina flani. Kama una uzoefu na vijana wanaouza nguo barabrani kwa kusimama au nje ya jengo la China plaza kuna vijana wengi sana pale wamepiga pasi nguo zao wanauza. Hii kazi hata Kontawa alishafanya na nikiri nilishawahi kumuona kipindi anajitafuta
 
Back
Top Bottom