Namna ushindi wa Yanga ulivyonipa utamu wa mtoto wa boss wangu

Inawezekana WaTanzania wengi wamekata ring ikiwemo Mimi Kwa hiyo inawezekana walipiga hata foursome
So wewe ungeweza kumtoa mkeo afanyiwe hivo? Mmh sitaomini kama inawezekana hii maumivu ya kunaniliwa mke unayajua mkuu??
 
So wewe ungeweza kumtoa mkeo afanyiwe hivo? Mmh sitaomini kama inawezekana hii maumivu ya kunaniliwa mke unayajua mkuu??
Wakati anacheza kamari means alishafanya consideration ya maumivu ya kuliwa mke so akaona it's fine Kwa chochote kitakachotokea.
 
Acha uongo
 
Naona unaendelea kutupanga mzee
 
Habari wana JF

Poleni na majukumu ya kazi pia tujipe pole shabiki wote wa Simba siku ya leo imekua ngumu na yenye maumivu sana juu ya team yetu ya Simba kufungwa basi bana wacha twende kwenye Maada
Umefunga shule lini
 
Shule zimefunga kwa kweli ..
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hizi chai zingine mnaweka ugoro badala ya majani, Ona sasa ulivyotoa boko na uongo wako.
 
Mkuu hujaokota mlevi kweli
Sio Yale ya kujidunga Double kick.�😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…