Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Story nzuri kweli, ila mi hua simwelewi mwanaume mwenzangu anayekuja kuniambia tuwende sehemu ye ataghalamikia kila kitu af tukale na tunywe tupige story af turudi makwetu kama sina hela yangu kiukweli siwezi labda nyie wenzangu
Unaogopa nini?
 
Nimesoma hii Story maanzo mwisho ni nzuri sana na inafunzo kubwa sana juu ya kuamini ushirikina..ila kwa Maoni yangu nilitegemea jamaa wangetapeliwa kwanzia M3 au 5..nimekuwa disappointed sana safari yote hiyo ya shurba mnganga anatapeli laki 3?...

Kamughisha na Mwadishi poleni kwa kupoteza MUDA lakini sio PESA [emoji3][emoji3]
 
Mkuu hongera sana kwa elimu hii kubwa unayoitoa,hakuna mafanikio ya shortcut...Mungu alishasema tutakula kwa jasho,sasa watu tunataka kula bila jasho haitawezekana...hayo maeneno ya Namanyere mpk Kilando nimewahi fika,nimewahi kaa pale chuo cha St.Bakitha..hakika umeyatendea haki maelezo ya haya maeneo.
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Kubwa kivipi mkuu bajeti ya kamugisha unaijua na je unajua alihitaji apate utajiri kiasi gani???
Hawa jamaa hawakuvuka milioni 2 bajeti yao kwa taarifa yako. 300K x 3 plus usafiri na malazi tufanye 1mil...hawakuvuka 2mil.... ambayo ni pesa ya kawaida kwa dokta na dhamira ya kazi.

Sasa kariakoo 2mil labda uwe chinga muuza urembo au maji.
 
Nimesoma hii Story maanzo mwisho ni nzuri sana na inafunzo kubwa sana juu ya kuamini ushirikina..ila kwa Maoni yangu nilitegemea jamaa wangetapeliwa kwanzia M3 au 5..nimekuwa disappointed sana safari yote hiyo ya shurba mnganga anatapeli laki 3?...

Kamughisha na Mwadishi poleni kwa kupoteza MUDA lakini sio PESA [emoji3][emoji3]
Waganga ni matapeli sana mkuu.
 
Huyu ndiye mfano wa huyo kolekole,baada ku
chunwa ngozi,nyama yake ikabanikwa na kuchomwa kisha kuliwa na wale jamaa walioitafuta,kisha ngozi yake ikaanikwa juani ilipokauka ikatengenezwa ndipo tukaambiwa itakuwa inaenda kuiba pesa benki inatuletea.

Kamugisha alivyokuwa na hamu na pesa ya wizi akawa amesema pesa ya kwanza tutakayomtuma huyo kolekole itakuwa milioni 100 ili tugawane pasu kwa pasu [emoji23][emoji23].

Kilichotukuta sitokaa nisahau.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimesoma kwa umakini ila kama a nataka Dawa huku zipo nilipo tz hii hii sio kwenda mbaliiiiii nicheck
 
Aiseeee ila wacongo na wanaija ni watoto wa baba mmoja kwa utapeli hawajambo...nimewaza mlivyolala uchi kwenye hayo mashimo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom