Einstein77
Member
- May 20, 2022
- 8
- 5
Kumbe ni majiran ila mm kesho ndo waaga bariad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaogopa nini?Story nzuri kweli, ila mi hua simwelewi mwanaume mwenzangu anayekuja kuniambia tuwende sehemu ye ataghalamikia kila kitu af tukale na tunywe tupige story af turudi makwetu kama sina hela yangu kiukweli siwezi labda nyie wenzangu
Ndio wanao kende tatu Hadi wengine kende tanoSa ukichaa wangu umetoka wapi mzee, ko wanaofanya biashara Kariakoo wana kende 3?
Ndo naiona tag yako mkuu siku JF some tags haziji..
Hahahaha *****Ukienda kwa waganga wa kitanga sharti lao kuu uwe punga. Yaani utafute watu wako Kama wanne hivi wakukule baada ya hapo MO akasome.
Kubwa kivipi mkuu bajeti ya kamugisha unaijua na je unajua alihitaji apate utajiri kiasi gani???Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.
Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?
Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Waganga ni matapeli sana mkuu.Nimesoma hii Story maanzo mwisho ni nzuri sana na inafunzo kubwa sana juu ya kuamini ushirikina..ila kwa Maoni yangu nilitegemea jamaa wangetapeliwa kwanzia M3 au 5..nimekuwa disappointed sana safari yote hiyo ya shurba mnganga anatapeli laki 3?...
Kamughisha na Mwadishi poleni kwa kupoteza MUDA lakini sio PESA [emoji3][emoji3]
Kaa kimya we mwehu!hv huon aibu!!??Umeshawahi kufika hata zambia mkuu ama unashabikia tu ujinga?
Huyu ndiye mfano wa huyo kolekole,baada ku
chunwa ngozi,nyama yake ikabanikwa na kuchomwa kisha kuliwa na wale jamaa walioitafuta,kisha ngozi yake ikaanikwa juani ilipokauka ikatengenezwa ndipo tukaambiwa itakuwa inaenda kuiba pesa benki inatuletea.
Kamugisha alivyokuwa na hamu na pesa ya wizi akawa amesema pesa ya kwanza tutakayomtuma huyo kolekole itakuwa milioni 100 ili tugawane pasu kwa pasu [emoji23][emoji23].
Kilichotukuta sitokaa nisahau.