Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
-
- #61
Mkuu uoni namimi ntakuwa nimepoteza pesa nyingi kwa ajili yakeMpigishe Bata after Bata party after party chape pocket money kabla haijaisha unmuongeza mara mbili ya ile ya awali after five years ya kula sterehe ataanza kupoteza Nuru na kuchuja atakuomba ndoa mwenyewe
Hii inashituaMpaka anakupangia na hela ya kumpa kila wiki, daah kweli umeshikwa 😂
Hudumia mkuu ndio uanaumeMkuu hiyo ni nauli ya kwenda kazini tu huduma nyingine bado zipo
Mwanao sanaMwanangu kivipi wakati mimi nimezaliwa 1995
😂😂 makutupora na wenzako piteni hapaWakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???
Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.
Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.
Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.
Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.
wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.
Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??
Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
Mkuu mi nataka nipige chini kabisa kuanzia leoinaonesha tangu mnafahamiana ulimzoesha pesa na akajua unazo, hakukupenda bali alipenda pesa zako.
Ukimuhitaji weka dau mezani kula endelea na life lako ila huyo sio ke wa kufanya nae maisha.
dah mambo mengi, ila hiyo 30k ni mlo wa mwezi mzima😂Kule UWABATA si una cheo au umejisahau?
Yeah namla mkuu japo hudum zake kidogo ni kubwa maana bado nina k nyingine zinanitegemeaKama unamla muhudumie
Hahaaaaaaaa duhAkiwa nao watano wa hivi (na hamkosekani) anakunja 600K yake kwa mwezi just chomeka chomoa chomeka chomoa.
Wanawake ni muflisi kabisa.
Dada ephen mm naingia kulala🤔🤔🤔Hupendwi..!
Endelea kukaa hapo hadi uunganishwe kwenye grid ya taifa.
Mega kijanja huyo ana njaa ndio maana licha ya kumbania hela bado yupo, kiufupi akipatikana mtoaji mzuri wa pesa anahamia huko.Mkuu mi nataka nipige chini kabisa kuanzia leo
🧏 UnknownWatu wanajua kutumia K...u...ma shost we acha tu
Mimi frateriiii haya mambo mageni kwangu😂😂 makutupora na wenzako piteni hapa
Vunja mifupa kama Meno ipo maisha ni haya haya! Sisi tupo na wewe mpaka Trump akuoneee hurumaYeah namla mkuu japo hudum zake kidogo ni kubwa maana bado nina k nyingine zinanitegemea
HahaaaaaKumbe kuna mishahara kwa week hamsemii😅
Yeah pesa mbele kama mfuko wa shatiUsijilazimishe kumuacha kwa vile anatii KIU yako so far....
We mle tu bila malengo itafika siku tabia zake zitakukeraa utajikuta tu umemuacha kimtindo.
Ukiwa na chochote kitu mpatie muende sawa.
Ila utembee na ngala (zana ya kazi) maana bi dada anaonekana pesa mbele
Mkuu endelea kutafuta hela na ukizipata ziba mifereji inayozitoa hela zako, hiyo miezi miwili hamjakutana kwasababu upo majalala.
Mkuu acha kunipotezaVunja mifupa kama Meno ipo maisha ni haya haya! Sisi tupo na wewe mpaka Trump akuoneee huruma