heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mi hao watt nakula nawapa chao napita hivi nikimuhitaj namwita wapo wengi we ni mshamba wa mapenz ndo maana unapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyo ukimwambia tu njoo ila kwasasa pesa sina ndio kwaheriMuulize penzi letu ni kuenjoy na kufurahia au kuuziana..kisha mwambie njoo ila sitakuwa na hela ya kutoa leo. Ukimfanya mara mbili bure akikimbia ndo unakuwa umetua mzigo. Asipokuja pia ndio umekata mrija wa pepo la ufilisi
Mkuu unataka ni date na wa mwaka ganiHIlo ndio tatizo la kudate na mijimama wewe karne hii unadate na demu wa 2003, limesha kubuhu mpaka limeota sugu
Mkuu mbona laki 5 alishaomba na uzi upo humuTafuta hela ndo uache kuita watoto wa watu gold digger. Akiomba laki 5 si utamfungulia kesi kabisa? Usipomtunza tutakutunzia, kutunza na kukaza vinaenda pamoja . Elfu 30 ni ku dig gold ama kuchimba chumvi 😂😂?
Verry sure mkuuuSio kivile ni mwanamke mjinga kutoelewa level ya mpenzi wako
Hakuna anachokifanya mkuuUkiachana na sex kuna kazi nyingine anakufanyia
Kipato kipo mkuu ila sikuzote ukitaka kuwa tajiri lazima uwe bahiriKweli wasukuma mnaonewa na Mademu...cheki huyu anavokamuliwa na inaonyesha kipato chenyewe tia maji tia maji.
Huyo niletee mimi maana tuna umri sawa wote wa 2003 hatoniomba hela.Hakuna anachokifanya mkuu
Mjanja sana ataki upige kavu hata kwa dawaMpe zawadi ya mimba
Aisee bac nitafanya hivyo ila wacha nimle kwanzaIla usimuage
Wenzio hawaagi.,. Ni kimya kimya Sisi ndo tunajiojiongeza kwamba tumeshaachwaa
atakagi watoto wa rika lake hii kitu aliniambia first day tunaonanaHuyo niletee mimi maana tuna umri sawa wote wa 2003 hatoniomba hela.
Si anajua hatuna helaatakagi watoto wa rika lake hii kitu aliniambia first day tunaonana
Sawa mkuuUliingia na gia ya kishamba Sana mtoto kakushika uchomoki🤣🤣🤣
Ukitaka umzid nguv tafuta anayemzid uzuri afu amjue atapoa
Mkuu hiyo ni nauli hapo vitu vingine badoIla na wewe utakuwa bado unajitafuta 30K kwa wiki si pesa ya kumuita mtu Gold Diger
Kumbe ndio maanaSi anajua hatuna hela
Yeah.Kumbe ndio maana
Alishamaliza chuo mwaka janaYeah.
Kwani huyo anasoma?
Eeh! sasa mbona mimi ndo kwanza niko mwaka wa kwanza?Alishamaliza chuo mwaka jana
Umuwez huyoEeh! sasa mbona mimi ndo kwanza niko mwaka wa kwanza?
Simuwez nini sasaUmuwez huyo