Namna ya kukabili tatizo la kuwahi kufika kileleni na kushindwa kuendelea

Namna ya kukabili tatizo la kuwahi kufika kileleni na kushindwa kuendelea

Usipokojoa ndanii round 1 dyudyuu husimama mapema kwa ajili ya mtanange wa pili

Epuka matumiz ya pombe, fanya mazoezi na ule mlo kamili (ugali+maharagwe+majani+dagaa) + maji ya kutosha
Epuka tizama picha za pornography....mvuto/ mwonekano wa mwenza wako ndo ukupe hamasaa
Wenzio wakisifia wapenz wao wana mguu wa biaa nawe msifie mkeo kuwa nae ana mguu wa biaa hata ka inafanana na spoku za baiskeli
 
Hiyo nilikuwa nayo zamani. Lakini ukishazizoe maku hiyo hali itapotea.

Sometimes unakojoa haraka kwasababu ya ushamba na ugwadu.

Kama ni tatizo, tafuta Uzi wangu mmoja nimeelezea jinsi ya kupiga BAO 2 double. Fuata hatua hizo uone maajabu.

Kulink naona inanishinda mpaka nitumie JF app Mimi natumia chrome.
Mkuu uzi wako ulikuwa na Kichwa cha habari gani ?
 
Pole mkuu, ukipata tiba jitibie taratibu, usipanick.

Hili tatizo ni la watu wengi mno ila mitandaoni tunadanganyana na kuongeza tatizo zaidi.
 
Mkuu Sawa Tu

Tafasiri ya Kiswahili Sanifu ya neno

Mhanga : mtu anaejitoa kwa ajili ya watu wengine wa Jamii fulani katika Jambo/Tukio fulani

Mhanga : mtu anaejitoa kwa ajili ya uokozi wa watu/viumbe wengine

Mhanga : Ndege/Mnyama anaetolewa kafara

Sentensi ya Neno Mhanga :

Tarehe 6/11/2022 bwana Majaliwa Jackson mkazi wa Bukoba alijitoa Mhanga ziwa Viktoria kwenda kuwaokoa watu walianguka na Ndege ya Precision Air.

Kwa ulichokielezea wewe sio Mhanga bali wewe ni Muathirika

Kwa hio toa mhanga weka Muathirika na mkiwa wengi mtakua Waathirika
 
Mimi huwa naamini ,
Kwenye hili Swala la kujamiana.
linahitaji pia uzoefu,
kuna baadhi ya watu siku ya kwanza tuu, anapiga gemu freshi bila tatizo.

Ila kuna wengine inahitaji muda, ili kuwa mzoefu. Siku ya kwanza tako mbili asha ejaculate, kurudia baada ya lisaa.
Ila siku zinavyokwenda, kama factors nyingine hazitobadilika, ataimprove.
 
Jitahidi kabla ya kupiga game, kula tikiti maji. Pia kunywa maji mengi ikiwezekana 1 litre before game, halafu relax. Keep your mind calm. Na mrembo akifika mtayarishe vyema, usikurupuke.
Utakuja niambia baadae
 
Wadau,

Kama wewe ulishawahi kuwa mhanga wa hii, ulipambana vp na tatizo la kukojoa haraka ndani ya dakika 1 alafu mashine kuchelewa kusimama kwa ajili ya round 2?

Karibuni muokoe jahazi
Mwache demu awe juu wewe toa ushirikiano tu kumshikashika, kumnyonya shingo n.k na wakati mnapiga zile nje ndani usikaze misuli yako ya uume na matako muda ukienda enda kidogo ndo unaweza kumbadilisha style unayotaka ila ukimpalamia tu na kifo cha mende au dog style dakika 0 tu ushamwaga
 
Mazoezi TU,
Ukizoea kuchakata Mara kwa Mara misuli yako inakomaa na inazoea hata Masaa 5 unaenda fresh tu.

Na Unaweza kuamua Ni saa ngapi ukojoe au saa ngapi umuache akapumzike.

Kama una mwanamke mmoja,
hasa Hawa wanawake zetu wanaotoa penzi kwa mgao Kama dawasco.

Usishangae sana ukijikuta ktk tatiz hilo
 
Kuna Watu watahisi naongea mazingaombwe,ila Sio kujisifu Wala Nini.

We are men, lazima tuambizane UKWELI.

Binafsi,
Tukiwa na mamaJ Naweza kwenda masaa hata 4, sometimes tukiwa fit Hadi masaa 6 kwa bao moja.

Na tangu nmeanza kusex na mamaJ sijawahi Kupiga bao 3, Mara nyingi naishia Moja, bao mbili labda tushinde siku nzima asbh mpk jioni

Kwa wife Ni half an hour keshachoka na hawez Tena, nabaki nmedinda.

Nikiona hajawa satisfied (hapendi nibaki nmedinda) ataomba anifanyie japo BJ,

Kwny bj ntavuta sana hisia nikojoe kusudi ili nae aridhike asije niwazia ntaenda msaliti nje.

Ila nikitoka happy lazima Cha pili nikakitafte kwa mamaJ, ambako shughuli yake itakua sio ya kitoto ni vurumai khanga kuchanika[emoji4]
 
Kwann nasema mazoezi ya kuchakata Ni muhimu?

Zaman nilikua Sina kasi sana ya kuchakata Kama sahv, I was almost 15mins to 30mins tayar nishakojoa.

Soon Nilipooa interval ilienda mpk 30mins maana nilikua simpi pumzi wife.

Nilipompata mamaJ,
Interval ilibadilika kabisa into hours Maana alikua hanipi pumzi Ni kazi kazi hakuna kulala.

Mwanzoni niliona kama kero
afu kama natumikishwa vile,
Ila nilipozoea nikaenjoy sana maana ilinijengea stamina Sana ktk sex mpk leo.


My Confession,
Kuna kipindi nilifuluriza siku 16 daily nachakata, aisee ile kitu ilinipa shida Sana.

Maana nilkua napeleka Moto anachoka naondoka sjakojoa, kesho yake narudia hivyo hivyo.Mpk mapumb yakaanza kuuma.

Nilipowekw PAUSE Kama Kama ya wiki sijafanya, nilipofanya interval ikapungua nikakojoa after 3 hrs

Nilipoongeza interval Tena wiki nyingine, nikakojoa after 1 hour, this hour mamaJ alilalamika Sana maana alkua ndo bado kabisa.

Nikaona Ujinga huu,
Nikarudi kwenye uchakataji wa mwanzo kua haiwez pita siku 2 sijala Mbususu na ubora wangu ukabaki pale pale kumantain hour jadhaa na kuamua kukojoa pale nnapotaka.
 
Hiyo nilikuwa nayo zamani. Lakini ukishazizoe maku hiyo hali itapotea.

Sometimes unakojoa haraka kwasababu ya ushamba na ugwadu.

Kama ni tatizo, tafuta Uzi wangu mmoja nimeelezea jinsi ya kupiga BAO 2 double. Fuata hatua hizo uone maajabu.

Kulink naona inanishinda mpaka nitumie JF app Mimi natumia chrome.
Sahii kabisa,
Ukiwa hujachakata au uchakati Mara kwa Mara hiyo Hali kwa mwanaume Ni inevitable
 
Usipokojoa ndanii round 1 dyudyuu husimama mapema kwa ajili ya mtanange wa pili

Epuka matumiz ya pombe, fanya mazoezi na ule mlo kamili (ugali+maharagwe+majani+dagaa) + maji ya kutosha
Epuka tizama picha za pornography....mvuto/ mwonekano wa mwenza wako ndo ukupe hamasaa
Wenzio wakisifia wapenz wao wana mguu wa biaa nawe msifie mkeo kuwa nae ana mguu wa biaa hata ka inafanana na spoku za baiskeli
Porn umeisingizia tu mkuu,
Mimi Ni mtizamaji mzur wa porn
MamaJ nae Ni mtizamaji mzur wa porn
Na wote Ni vitombi wazur Sana kunako 6×6
 
Jitahidi kabla ya kupiga game, kula tikiti maji. Pia kunywa maji mengi ikiwezekana 1 litre before game, halafu relax. Keep your mind calm. Na mrembo akifika mtayarishe vyema, usikurupuke.
Utakuja niambia baadae
Nakazia
 
UKITAKA KUKOJOA CHOMOA DUSHEE(kojoa nje)HALAFU PIGAPIGA KISEEMI KAMA MARA 3(au sugua na dushee),,DUSHEE LITAITIKA TENA NA UENDELEE KUCHAKATA
Kuna jina iyo style wahaya wanaita, tamu balaa
 
Back
Top Bottom