Namna ya kukabili tatizo la kuwahi kufika kileleni na kushindwa kuendelea

Namna ya kukabili tatizo la kuwahi kufika kileleni na kushindwa kuendelea

Binafsi naamini hakuna mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume
Sahii kabisa,
Hili tatizo linakuzwa kuliko uhalisia,
Ni Watu TU hawajaamua kuvitumia viungo vyao ipasavyo.

Huwa nasema kila siku,
Ukiwa mchakataji mzur mwanamke mmoja hatoshi kabisa, utalala na nyege zako
 
Fafanua inavyofanya kazi.
Hivi yaan....
Cc: @beesmom
images-1087.jpg
 
Kama unaangalia porn acha mara moja.
Psychologists wanasema ubongo ni adaptability machine maana yake unaadapt na kuzoea chochote kwenye mazingira yoyote. Kitendo cha wewe kuangalia watu wawili wakifanya ngono kinapelekea ubongo wako kuzoea hiyo hali na unakuwa unaridhika ukiona watu wakifanya ngono pekee badala ya wewe kuwa kwenye tendo hilo. Hivyo ukiwa na mwanamke hisia zinakuwa hazipo kabisa.

Binafsi sijawahi kuwa na hali hiyo na sababu kuu ni mazoezi makali, kula vizuri, kuacha kulipia only fans na kutokuwa shabiki wa porn na hasa baada ya kuachana na chama cha wachukua sheria mkononi. Kuna chama cha maveteran wa chaputa kinaitwa NoFap hii kitu ni gamechanger sababu unakuwa na hisia kali sana lakini utajizuia kuchukua sheria mkononi na ukipata mtoto mzuri lazima utaona maajabu.​
Mkuu sana sana hapo ni saikolojia, porn haina shida
 
Mimi sio mwanaume Ila nadhani ushauri wangu unaweza kisaidia...
1.kula vizuri (mlo kamili)
2. Fanya mazoezi
3. Kula zile mbegu za maboga kama una mke mwambie akiandalie vizuuur kama huna tafuta unga wake
4. Soup ya sea food kama unauwezo
Alafu relax
 
Mimi sio mwanaume Ila nadhani ushauri wangu unaweza kisaidia...
1.kula vizuri (mlo kamili)
2. Fanya mazoezi
3. Kula zile mbegu za maboga kama una mke mwambie akiandalie vizuuur kama huna tafuta unga wake
4. Soup ya sea food kama unauwezo
Alafu relax
Legend kama legend. Nyie wanawake mnaojua namna ya kumpa lishe inayofaa mwanaume wako ili awe na nguvu za kutosha kushughulika ipasavyo mna nafasi zenu special kwa Mola

Barikiwa sana Qurie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sana sana hapo ni saikolojia, porn haina shida
Hayo sio maneno yangu bali Psychologists na Neuroscientists ndio wanasema hivyo. Hao watu ni qualified specialists kwenye hiyo sector na wanajua wanachokiongea. Check hiyo video.

 
1: Punguza wasiwasi:
Hebu lifikirie tendo kama njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu, hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.

2: Fanya taratibu:
Picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama mbwa. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni.

4: Badilisha staili:
Ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana.

5: Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juu au kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa

6: Toa mawazo kwamba unafanya ngono:
Hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.

6: Fanya na kuacha:
hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza.
Hii na6 uwongo mtupu sasa niwaze kazi wakati mbususu naiona hii hapa, toto matiti kama juicy juicy mangoes hiyo kazi naazajenkuiwaza?
 
Back
Top Bottom