Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Jifunze mgogoro huo ilianza lini, makubaliano mangapi yametiwa saini kati ya Palestine na Israel.
Jifunze Israel kukalia Palestine kwa mabavu.
Ndio uje na mambo ya ugaidi.
 
R3
"Umesema namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazo tumia magaidi"

Nakuuliza tena.

China ilipambana vipi na terrorism Xinjiang ?

Wayahudi sio wachina. Na wachina sio wayahudi.
Ni kama useme chui na Tiger katika mbinu za kimedani wanapokabiliana na adui zao.
Hawawezi kufanana
 
Nimeipenda saana
 
Mtibeli noma sana wewe😀
 
Hizo ni dini.
Ila taifa ni lakiyahudi.
Sio ajabu hao wanaorusha na kuua Hamas na wapalestina wakawepo waislam wayahudi
Ila ukasema wanatumia mafundisho ya kiyahudi kutekeleza mauaji si ndio ?

Uyahudi pale unapigana dhidi ya dini gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…