Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Torati/sheria sio Mafundisho.
Ila ni nini ?
Screenshot_20231028-173458.jpg
 
Hivi ndivyo huwa mnafundishwa misikitini jinsi ya kujibu hoja?
Wew ni mpumbavu sana na usichokijua mie sio muislamu, tatizo mnapenda kukurupukia watu kwa kuongozwa na hisia, wew kweli ni bichwa jiwe kabisa si ajabu ulitanguliza miguu kipindi unazaliwa.
 
Wew ni mpumbavu sana na usichokijua mie sio muislamu, tatizo mnapenda kukurupukia watu kwa kuongozwa na hisia, wew kweli ni bichwa jiwe kabisa si ajabu ulitanguliza miguu kipindi unazaliwa.

Mbona mihemuko.
 
Torati, sheria, amri, agizo, ndio visawe vinavyorejelea maana moja inayofanana.

Fundisho linaweza kutokea kwenye sheria au amri au agizo.
Jinsi ya kufuata sheria au amri na hukumu ndio huwa mafundisho.

Matokeo ya kuvunja au kushika sheria ndio huweza kuzalisha mafundisho.
Ulisema torati sio mafundisho au sio wewe ?

Turudi mwanzo. Kwa hiyo Israel inaongozwa kwa mafundisho ya Torati ?
 
Mkuu ijapokua sikuchangii bando napia Sina cha kukupangia humu, Ila nipende kusema huyo jamaa ni bichwa panzi, anakupotezea mda tu.
Hata Mimi nimeona jamaa anaboga juu ya shingo sio kichwa.
 
Back
Top Bottom