Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Ulisema torati sio mafundisho au sio wewe ?

Turudi mwanzo. Kwa hiyo Israel inaongozwa kwa mafundisho ya Torati ?

Torati sio mafu9. Ila inaweza kujifunza na kupata mafundisho kupitia Torati. Wapo hauelewi Sheikhe!

Israel inatumia baadhi ya falsafa kutoka kwenye torati
 
Torati haielekezi hayo ?

Torati inaamrisha, ndio maana inaitwa Torati.
Unajua maana ya Amri?
Mafundisho ni maelekezo ambayo hayana Amri. Unajifunza tuu unaweza kuyatumia au kutoyafumia. Yakishakuwa na amri huitwa sheria au Torati.
Na haitwi tena Mafundisho bali Sheria
 
Torati inaamrisha, ndio maana inaitwa Torati.
Unajua maana ya Amri?
Mafundisho ni maelekezo ambayo hayana Amri. Unajifunza tuu unaweza kuyatumia au kutoyafumia. Yakishakuwa na amri huitwa sheria au Torati.
Na haitwi tena Mafundisho bali Sheria
Kati ya Biblia na maneno yako wewe ya mdomoni kuhusu torati nani yupo sahihi ?
Screenshot_20231028-173458.jpg
 
Duh ukute na wewe eti unawatoto na hapo unamnyonyesha namuhurumia huyo mtoto kuwa na mama Kama wewe.🤣🤣🤣🤣
Vipi machaguo yako kati ya mke mdogo na mchepuko ni yapi ? Nasubiri
 
Unajua kiswahili vyema soma hiki ulichoandika mwenyewe

Sasa hivi imekuwa baadhi tena na umeongeza falsafa kazi ipo.

Kwa hiyo Israel inaongozwa kwa mafundisho ya torati ?

Nafikiri unatatizo la uelewa.

Haiongozwi ila inatumia. Sijui unakwama wapi.
 
Back
Top Bottom