Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

(Qur-an 3:118-120)

1698504986884.png

118. Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika nyinyi. Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda yanayo kudhuruni. Imekwisha fichuka chuki yao katika midomo yao. Na yanayo ficha vifua vyao ni makubwa zaidi. Tumekwisha kubainishieni Ishara ikiwa nyinyi mtayatia akilini.

1698505035793.png

119. Hivyo basi nyinyi ndio mnawapenda watu hao, wala wao hawakupendeni. Nanyi mnaviamini Vitabu vyote. Na wanapo kutana nanyi husema: Tumeamini. Na wanapo kuwa peke yao wanakuumieni vidole kwa chuki. Sema: Kufeni kwa chuki yenu! Hakika Mwenyezi Mungu anayajua yaliomo vifuani.

1698505109902.png

120. Ikikupateni kheri huwaudhi. Na ikikupateni shari wanafurahia. Na nyinyi mkisubiri na mkajizuilia, hila zao hazitakudhuruni kitu. Hakika Mwenyezi Mungu ni mwenye kuyazunguka yote wayatendayo.
 
Kati ya Biblia na maneno yako wewe ya mdomoni kuhusu torati nani yupo sahihi ?View attachment 2795860

Hicho ulichonukuu sio biblia.
Weka hiyo methali inasemaje kisha uje na hoja yako. Hayo maelezo uliyotoa weka hapo sio biblia. Ila ulichokiweka ni hicho kitabu kimoja cha biblia"methali" kama kizugio.

Embu weka hiyo methali hapa tuone biblia inasemaje
 
Hicho ulichonukuu sio biblia.
Weka hiyo methali inasemaje kisha uje na hoja yako. Hayo maelezo uliyotoa weka hapo sio biblia. Ila ulichokiweka ni hicho kitabu kimoja cha biblia"methali" kama kizugio.

Embu weka hiyo methali hapa tuone biblia inasemaje
Unasema sio biblia mara unasema weka hiyo methali tuone hueleweki unataka nini wala unasimamia nini ?

Ni kama mtu anaye taka kukimbia wakati huo huo anataka kutembea chagua moja kukimbia au kutembea.
 
Unasema sio biblia mara unasema weka hiyo methali tuone hueleweki unataka nini wala unasimamia nini ?

Ni kama mtu anaye taka kukimbia wakati huo huo anataka kutembea chagua moja kukimbia au kutembea.

Weka aya ya biblia kama nilivyoweka.
Sitaki uanze kujiaibisha. Wengi wanaojadiliana na mimi wakishafika katika hatua hii huanza kujidhalilisha sio wào tuu hata mirengo na upande waliomo.
 
Weka aya ya biblia kama nilivyoweka.
Sitaki uanze kujiaibisha. Wengi wanaojadiliana na mimi wakishafika katika hatua hii huanza kujidhalilisha sio wào tuu hata mirengo na upande waliomo.
Unataka aya gani ya kuthibitisha zaidi ya hiyo uliyoweka wewe mwenyewe kuthibitisha ?

Unafikiri hapa tupo kwenye league ya mashindano kazi sana kama unafikiri nipo hivyo.
 
Nafikiri umeelewa sasa

Nimeelewa nini?
Nimekuwekea hiyo aya ili utoe hoja yako.
Sitaki kuamini kwamba unaupeo mdogo.

Umeshindwa kunukuu biblia, nimekusaidia ili ujaribu kueleza kile unachotaka Watu wakuelewe kupita mjadala huu.
Nakuwekea tena;
Mithali 1:8
[8]Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako,
Wala usiiache sheria ya mama yako,
My son, hear the instruction of thy father, and forsake not the law of thy mother:

Ulikuwa unataka kusemaje?
 
Back
Top Bottom