Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Namna ya kukabiliana na magaidi ni kutumia mbinu wanazotumia magaidi

Ndio maana nikakuuliza wewe unaye jua unieleweshe au nakosea ndugu yangu mbantu ?

Ndio nikakujibu kama mwalimu kuwa usubiri siku nitakayokuandalia somo kuhusu hicho ambacho hukijui na umeniomba nikujuze.

Mwanafunzi hampangii mwalimu lini, jinsi, wapi pakumfundishia. Mwalimu ndiye anayeamua. So kuwa mpole
 
Mimi ni Mtibeli. Sihusiki na mambo ya waisraeli na wabantu. Sawa Mkuu.

Methali ni kitabu ambacho umekinukuu, lakini hakionyeshi kile alichotaka kuonyeshwa, ambacho ni kuwa Mafundisho ni Torati, au Torati ni mafundisho.

Mimi nimekuambia, Torati sio mafundisho ila unaweza ukapata mafundisho kwenye Torati. Wapi huelewi Sheikhe.

Ni sawa useme Chai sio maji ila unaweza kupata maji kwenye chai wapi huelewi
Umebadilika tena ni mwendo wa ukinyonga tu angalia usije ukana imani leo haaaaaah
 
Ndio nikakujibu kama mwalimu kuwa usubiri siku nitakayokuandalia somo kuhusu hicho ambacho hukijui na umeniomba nikujuze.

Mwanafunzi hampangii mwalimu lini, jinsi, wapi pakumfundishia. Mwalimu ndiye anayeamua. So kuwa mpole
Mimi nimeuliza hapa nijibiwe hapa hayo ya siku nyengine sina uhakika nayo kama nitakuwepo humu
 
Mimi nimeuliza hapa nijibiwe hapa hayo ya siku nyengine sina uhakika nayo kama nitakuwepo humu

Huwezi mpangia ambaye unamuomba. Umaskini wako wa ujuzi unakutaka uwe mpole na ufuate utakachombiwa.
Kama hutaki tafuta mwenyewe.

Yàni uwe mjinga alafu bado uwe na amri juu yangu. 😂😂
 
Watazikana kweli
Tatizo linakuja kwenye hizi dini, Wakristo kujipendekeza kwa Waisraeli huku Waislamu wakijipendekeza kwa Wapalestina. Utumwa

Utumwa wa hali ya juu. Wamatumbi wapo more concerned na vita za miyahudi na miarabu kuliko madhila ya waafrica wenzao.
 
Msionyeshe huruma, uhai kwa uhai, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Kutoka 21:
24 jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,
25kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, na pigo kwa pigo
Huyu Mungu wa Mashariki ya kati mbona ana roho mbaya sana? Huyu ni YAHWEH bado ALLAH!

Siku tukitambua kuwa haya ni maneno ya mwanadamu naamini ukombozi wa kifikra utakuwa njiani!


Nauliza hivi MUNGU anaweza kutamka haya maneno? Huyu siyo mwanadamu? Unahisi MUNGU anaweza kuwa hivi ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa?

Waislamu:

Allah:

Surah Muhammad (47:4 QURAN)


فَإِذَا لَقِيتُمُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فَضَرۡبَ ٱلرِّقَابِ حَتَّىٰٓ إِذَآ أَثۡخَنتُمُوهُمۡ فَشُدُّواْ ٱلۡوَثَاقَ فَإِمَّا مَنَّۢا بَعۡدُ وَإِمَّا فِدَآءً حَتَّىٰ تَضَعَ ٱلۡحَرۡبُ أَوۡزَارَهَاۚ ذَٰلِكَۖ وَلَوۡ يَشَآءُ ٱللَّهُ لَٱنتَصَرَ مِنۡهُمۡ وَلَٰكِن لِّيَبۡلُوَاْ بَعۡضَكُم بِبَعۡضٖۗ وَٱلَّذِينَ قُتِلُواْ فِي سَبِيلِ ٱللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعۡمَٰلَهُمۡ



4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a´mali zao.
Wakristo:

Yahweh:

Isaya 34


1
Karibuni, enyi mataifa, mpate kusikia; sikilizeni, enyi kabila za watu; dunia na isikie, nacho kiijazacho, ulimwengu na vitu vyote viutokavyo.


2 Maana Bwana ana ghadhabu juu ya mataifa yote, na hasira kali juu ya jeshi lao lote; amewaangamiza kabisa, amewatoa waende kuchinjwa.


3
Watu wao waliouawa watatupwa nje, na uvundo wa maiti zao utapaa juu, na milima itayeyushwa kwa damu yao.


5 Maana upanga wangu umekunywa na kushiba mbinguni; tazama, utashukia Edomu, na juu ya watu wa laana yangu, ili kuwahukumu.


6 Upanga wa Bwana umeshiba damu, umenona kwa unono, kwa damu ya wana-kondoo na mbuzi, kwa mafuta ya figo za kondoo waume; maana Bwana ana dhabihu huko Bozra, machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.


Mungu ametupa akili, hekima, busara na maarifa, naomba tuvitumie hivi vitu!
 
Huyu Mungu wa Mashariki ya kati mbona ana roho mbaya sana? Huyu ni YAHWEH bado ALLAH!

Siku tukitambua kuwa haya ni maneno ya mwanadamu naamini ukombozi wa kifikra utakuwa njiani!


Nauliza hivi MUNGU anaweza kutamka haya maneno? Huyu siyo mwanadamu? Unahisi MUNGU anaweza kuwa hivi ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa?

Waislamu:

Allah:

Surah Muhammad (47:4 QURAN)


فَإِذَا لَقِيتُمُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فَضَرۡبَ ٱلرِّقَابِ حَتَّىٰٓ إِذَآ أَثۡخَنتُمُوهُمۡ فَشُدُّواْ ٱلۡوَثَاقَ فَإِمَّا مَنَّۢا بَعۡدُ وَإِمَّا فِدَآءً حَتَّىٰ تَضَعَ ٱلۡحَرۡبُ أَوۡزَارَهَاۚ ذَٰلِكَۖ وَلَوۡ يَشَآءُ ٱللَّهُ لَٱنتَصَرَ مِنۡهُمۡ وَلَٰكِن لِّيَبۡلُوَاْ بَعۡضَكُم بِبَعۡضٖۗ وَٱلَّذِينَ قُتِلُواْ فِي سَبِيلِ ٱللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعۡمَٰلَهُمۡ



4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a´mali zao.
Wakristo:

Yahweh:

Isaya 34


1
Karibuni, enyi mataifa, mpate kusikia; sikilizeni, enyi kabila za watu; dunia na isikie, nacho kiijazacho, ulimwengu na vitu vyote viutokavyo.


2 Maana Bwana ana ghadhabu juu ya mataifa yote, na hasira kali juu ya jeshi lao lote; amewaangamiza kabisa, amewatoa waende kuchinjwa.


3
Watu wao waliouawa watatupwa nje, na uvundo wa maiti zao utapaa juu, na milima itayeyushwa kwa damu yao.


5 Maana upanga wangu umekunywa na kushiba mbinguni; tazama, utashukia Edomu, na juu ya watu wa laana yangu, ili kuwahukumu.


6 Upanga wa Bwana umeshiba damu, umenona kwa unono, kwa damu ya wana-kondoo na mbuzi, kwa mafuta ya figo za kondoo waume; maana Bwana ana dhabihu huko Bozra, machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.


Mungu ametupa akili, hekima, busara na maarifa, naomba tuvitumie hivi vitu!

😂😂
 
Sikuungi mkono watoto wananyanyasika Sana Gaza pale kisa tu makosa ya baba zao ama wajomba zao
Baba zao na wajomba zao walikuwa watoto wa jana; watoto wa leo ndio baba na wajomba wa kesho! That cycle goes over and over again!
 
Na hili ndilo kosa ambalo Hamas walilifanya, wao walitakiwa kupambana na jeshi tu la wayahudi feki wa kizungu nasio raia wa kawaida wasiokua na hatia.

Na hivi ndivyo Hezbollah amekua akiogopwa na wayahudi feki wa kizungu ni kwasababu huwa anawatarget wanajeshi wa taifa feki la kiyahudi na kuleta madhara makubwa sana kwao.
wayahudi halisi kwa sasa wako wapi mkuu?
 
Huwe unaelewa nasio kukurupuka nimesemea mfano wa kundi Hezbollah linavyopambana na jeshi la taifa feki la kiyahudi tofauti na Hamas wanaoteka na kuwadhuru raia wasio na hatia.
Wee vipi. Hezbollah anataka kuifuta Israel yote. Israel inajilinda. Mbona sasa wasiifute Israel kwenye ramani? Kinachowashinda nini?
 
Back
Top Bottom