Namna ya Kula pesa za Watanzania bila kutumia nguvu kubwa

Namna ya Kula pesa za Watanzania bila kutumia nguvu kubwa

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Betting/Bahati Nasibu ya kujishindia Mamilioni kwa kucheza kwa Tsh 500 Tu.

4. Andaa matangazo ya ajira mishahara million 9 (take home) ila kujaza fomu 20,000 Tsh Tu,

5. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

6. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere,

7. Andaa matangazo ya kampuni mpya ya basin(hewa) weka nauli nusu bei, abiria atume kwa M-PESA siku 5 kabla ya safari. Utavuna pesa za wajinga
 
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

4. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere
🤣🤣🤣🤣
 
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

4. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere
Hii ligi ya mchangani unapataje ela nianze na mimi!?
 
Tatizo pesa unazo maana kama huna huwezi PATA ,imeandikwa aliye nacho ataongezewa na asiye nacho.........
 
Namba 2 ni rahisi ukiwa mtenda miujiza utazila sana, zilizobaki hazina uhakika sana
 
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

4. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere
5. Kuwa mganga wa jienyeji, utakula wao na pesa zao
 
Nampango wa kuanzisha kozi ya bi tozo, abduli kuwongwa, madilu puuzeni, SGR bundi na ngedere, magu pesa, manguruwe, makuku mpaka watu.

Hizi kozi zikuwa UDSm zina mkopo ukisoma
 
5. Uza Dawa za kuongeza nguvu za kiume, kurefusha, kunenepesha, kuimarisha, kusimamisha masaa matatu mpaka masaa sita.

6. Uza Dawa za kuongeza makalio, msambwanda, tako kuwa kubwa.

7. Uza dawa za kupata utajiri

8. Uza dawa za kupata mpenzi, kumfunga na kumtuliza mpenzi.
 
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

4. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere
Wewe umeanzisha nn labda kwa mfano
 
Ww umefanya lipi kati ya hayo na umetajirika ama unakuja na story za matiki 🤣🤣🤣ingekua rahjs kiivyo basi watu wangekua wamejazana
 
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

4. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere
Mzee namba tatu ijaribu uona kama rahisi uone kama hujafilisika ukaludi kwenu
 
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

4. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere
Ukitoa hela kwenye mpira utairudisha vipi?
 
1. Anzisha Chama cha siasa, piga domo upate angalau Diwani, mbunge ruzuku kama zote.

2. Anzisha huduma za maombezi na kupata utajiri, utakusanya pesa za wavivu mpaka ukimbie,

3. Support Mpira wa miguu (ikibidi dhamini ligi za mchangani).

4. Anzisha baa au tamasha la muziki, weka na wapishi wa biryani, kitimoto na wahudumu wenye wezere
Au kuwa mganga wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom