Namna ya kuonana na Rais

Kuna mdada aliandika utumbo Samia akareply....so inawezekana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huyo hana shida kuna watu wanashida hata huo muda wa kuandika utumbo hana je ni insta au tweeter?? kuna muda hua nawaza hata hizo ac zaweza kua kuna mtu anaziendesha sio yeye
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huyo hana shida kuna watu wanashida hata huo muda wa kuandika utumbo hana je ni insta au tweeter?? kuna muda hua nawaza hata hizo ac zaweza kua kuna mtu anaziendesha sio yeye
Instagram
 
Kwakweli watu wengi wanatamani kumpata mkombozi wa kutatua matatizo mbalimbali Kwani Mahakama na vyombo vingi wameamua kujiunga na wadhulumaji.
 
Wwewe kazi yako ni kumchagua tu baada ya hapo wewe na yeye ni mbingu na ardhi mambo ya kuonana kamtafute balozi wako wa nyumba kumi au mngoje 2025 viwanja vita kampeni
 
Kwakweli watu wengi wanatamani kumpata mkombozi wa kutatua matatizo mbalimbali Kwani Mahakama na vyombo vingi wameamua kujiunga na wadhulumaji.
na vijana ambao kazi hawana na wana kila kitu isipokua viwili either mtaji au kaz
 
Swali zuri
 
Geti la ikulu tu pale magogoni unasimama hautoki Lazima utaonana nae,,, ilitokeaga kwa Magufuli TCU walituletea ushenzi..
 
Geti la ikulu tu pale magogoni unasimama hautoki Lazima utaonana nae,,, ilitokeaga kwa Magufuli TCU walituletea ushenzi..
kwamba had niende dar au dodoma??
 
Wwewe kazi yako ni kumchagua tu baada ya hapo wewe na yeye ni mbingu na ardhi mambo ya kuonana kamtafute balozi wako wa nyumba kumi au mngoje 2025 viwanja vita kampeni
kwenye viwanja nampataje si ndio nitashushwa kama mbwa?? akimaliza tu kuomba kura namvamia na kilio au kwa namna gan??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…