Namna ya kuonana na Rais

Namna ya kuonana na Rais

Kuna mdada aliandika utumbo Samia akareply....so inawezekana
😂😂😂 huyo hana shida kuna watu wanashida hata huo muda wa kuandika utumbo hana je ni insta au tweeter?? kuna muda hua nawaza hata hizo ac zaweza kua kuna mtu anaziendesha sio yeye
 
😂😂😂 huyo hana shida kuna watu wanashida hata huo muda wa kuandika utumbo hana je ni insta au tweeter?? kuna muda hua nawaza hata hizo ac zaweza kua kuna mtu anaziendesha sio yeye
Instagram
 
Kwakweli watu wengi wanatamani kumpata mkombozi wa kutatua matatizo mbalimbali Kwani Mahakama na vyombo vingi wameamua kujiunga na wadhulumaji.
 
Wwewe kazi yako ni kumchagua tu baada ya hapo wewe na yeye ni mbingu na ardhi mambo ya kuonana kamtafute balozi wako wa nyumba kumi au mngoje 2025 viwanja vita kampeni
 
Kwakweli watu wengi wanatamani kumpata mkombozi wa kutatua matatizo mbalimbali Kwani Mahakama na vyombo vingi wameamua kujiunga na wadhulumaji.
na vijana ambao kazi hawana na wana kila kitu isipokua viwili either mtaji au kaz
 
habari wanabodi,


naomba kufahamishwa au kujuzwa je nikitaka kuonana na mama samia yani face to face nifanyeje?? wazo hili limenijia kwa mfano unataka kuongea naye je unamngoja akiwa kwenye msafara unamuomba?? unamngoja afike ikulu ndogo mkoa anaotembelea unamfata?? akiwa safarini unampigia makelele "mama nina shida ya kuonana na wewe" je inaruhusiwa kwa mwananchi wa kawaida kumuona raisi wa nchi akaongea naye ana kwa ana?? je hua anajibu dm huko tweeter au instagram??

yaani ikitokea unataka kuonana na raisi ukiwamwananchi wa kawaida unatakiwa kufata hatua zipi??
Swali zuri
 
Geti la ikulu tu pale magogoni unasimama hautoki Lazima utaonana nae,,, ilitokeaga kwa Magufuli TCU walituletea ushenzi..
 
Geti la ikulu tu pale magogoni unasimama hautoki Lazima utaonana nae,,, ilitokeaga kwa Magufuli TCU walituletea ushenzi..
kwamba had niende dar au dodoma??
 
Wwewe kazi yako ni kumchagua tu baada ya hapo wewe na yeye ni mbingu na ardhi mambo ya kuonana kamtafute balozi wako wa nyumba kumi au mngoje 2025 viwanja vita kampeni
kwenye viwanja nampataje si ndio nitashushwa kama mbwa?? akimaliza tu kuomba kura namvamia na kilio au kwa namna gan??
 
Back
Top Bottom