Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dalali wa warembo hahaha natazama pisikali na sinunui..Umeumia kupigwa block?Pole sasa unataka kuangalia nini wakati hata bidhaa haununui ?,Au mchepuko ndo umekulima block,inauma kutandikwa block na demu halafu iwe bado unamtaka yeye hakutaki.Any way no way utaona status zake kama kakublock,hata ukiamua kutumia no nyingine yeye kama hiyo number hajaisave kwake huwezi ona status zake.
Nae anataku-unblock kwa Muda wake na sio kwa Muda wako.Ntanunua Kwa ratiba yangu sio Kwa ratiba yake
Kisirani cha nini kwenye biashara.Kuna mfanyabiashara mmoja nilikuwa natazama bidhaa zake Kwa watsap status ...mara akani block...aliamua Ku block wote ambao hatujawahi nunua hizo bidhaa...
Nimewahi sikia inawezekana kutazama Watsap status bila kuonekana....na Vile vile inawezekana nikaendelea kutazama status hata kama kani block.....any help?...
Big IQU kama wewe unauliza very low questions, unafeli wapi?
Mwambie aku unblockKama keshanipiga block nafanyaje?
Hata aje mwenye wasap yakeNgoja CHIEF MKWAWA aje
Hata aje mwenye wasap yake
Ni hamna namna kwa hiyo namba uliyoblockiwa nayo.
Yan wewe unanyimia watu kuona last seen why?
hii inazuia vitu vingi.. lakin ukiwa na hizi fm whatsapp,GB whatsapp au Yo whatsapp.. unahide kuview tuu...
Mhh sio kweliBasi kazi sio nyepesi ...kuna mtu aliwahi ni block nikabadili simu nikaona namuona Watsap status
Wengine wanatumia ma IOShii inazuia vitu vingi.. lakin ukiwa na hizi fm whatsapp,GB whatsapp au Yo whatsapp.. unahide kuview tuu...
Na huna mpango Bado wa kununua? Status zikoje hizo??Kuna mfanyabiashara mmoja nilikuwa natazama bidhaa zake Kwa watsap status ...mara akani block...aliamua Ku block wote ambao hatujawahi nunua hizo bidhaa...
Nimewahi sikia inawezekana kutazama Watsap status bila kuonekana....na Vile vile inawezekana nikaendelea kutazama status hata kama kani block.....any help?...