Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Yeah.. hilo ndo tatizo lakeWengine wanatumia ma IOS
Haya support hizo un official wasap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah.. hilo ndo tatizo lakeWengine wanatumia ma IOS
Haya support hizo un official wasap
Kama ulikuwa kwenye mawazo yangu vile 😀😀😀Mimi peke yangu ndiyo nimekuelewa kaka sasa fanya hivi huyo demu achana nae atakuumiza ndugu yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nunua bidhaa mkuu. Unatazama bure tu. ?
Mnaboa sanaMe natumia FM whatsapp kitambo tuu... ina features nyingi nzuri ubaya. wake kama hujui kuupdate na pia kwa iPhone users hawawezi kutumia
View attachment 2466552
Yajayo yanafurahisha siku hizi kuna features mpya nyingi sanaaa😂Mnaboa sana
Siwapendiii
😂😂😂
Me mtu nikiweka status, nikaja ifuta. Akareply kisa tu mko na aunt delete, uwa simjibu.
Namuona kama hazimtoshi, sababu inakuwa inaonyesha kabisa hii status imefutwa.
Sasa we unakaza nini kuendelea kuireply?
Naona mna view once unlimited 😂😂🙌
Sisi official wasap sahivi picha ya view once huwezi hata kui screenshot.
Nami nahitaji hiyo. Kuna madem wanajisikia sana wakiona nimetazama status zao.
Watoto wema wa officialsYajayo yanafurahisha siku hizi kuna features mpya nyingi sanaaa😂
me nilianza kutumia hii sababu napenda dark themes... nikatekwa mazimaa
YesKuna kaka mmoja amenitaka nikakataa akani block
Wewe sio mnunuzi kaa mbali!Anaposti bidhaa tofauti...nataka kuendelea kutazama kuna siku ataposti ntakachopenda ninunue
Interesting..Kuna mfanyabiashara mmoja nilikuwa natazama bidhaa zake Kwa watsap status ...mara akani block...aliamua Ku block wote ambao hatujawahi nunua hizo bidhaa...
Nimewahi sikia inawezekana kutazama Watsap status bila kuonekana....na Vile vile inawezekana nikaendelea kutazama status hata kama kani block.....any help?...
Umetupa tofali watu wengi. Nifungilie mimi tu tafadhali [emoji12]Watoto wema wa officials
Tuna privacy chacheeeView attachment 2466574
Duh ume block watu 16?Mimi Sina roho mbaya Sana.
View attachment 2466586
Blocked 17 lazima watakuwa waliomba ukawanyimaWatoto wema wa officials
Tuna privacy chacheeeView attachment 2466574
[emoji16][emoji16]Mimi peke yangu ndiyo nimekuelewa kaka sasa fanya hivi huyo demu achana nae atakuumiza ndugu yangu
Hahaha nimecheka kishenzi kumbe kuna hadi anti-view once[emoji23] wazipije bun tuMe natumia FM whatsapp kitambo tuu... ina features nyingi nzuri ubaya. wake kama hujui kuupdate na pia kwa iPhone users hawawezi kutumia
View attachment 2466552