Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
πππππππ DahNi dalali wa warembo hahaha natazama pisikali na sinunui..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππ DahNi dalali wa warembo hahaha natazama pisikali na sinunui..
nimeona profile yako ila haujawahi kuwa na namba yangu....Yan wewe unanyimia watu kuona last seen why?
Na unawaachia waone profile?
Me last seen
Profile
About
Only my contacts.
Sasa mtu sijakusave uone profile langu la nini? Hao nawanyima access
Nimeweka nini? πnimeona profile yako ila haujawahi kuwa na namba yangu....
Mhitimu wa Cuba[emoji23]Mimi peke yangu ndiyo nimekuelewa kaka sasa fanya hivi huyo demu achana nae atakuumiza ndugu yangu
Nilibadili simu namba yako ikaondoka. Ilikuwa picha yako umegeukia nyuma umevalia short.Nimeweka nini? [emoji23]
Tuishi humuAu itakuwa ni dada poa mkuu? manake inaonekana kuna kufaidi katika kuona hilo tangazo.
Kweli kabisa akinunua pia anakua kalipa Kodi ,aachane na MINGONunua bidhaa mkuu. Unatazama bure tu. ?
Haiko hivyo Madam, Big IQ kwenye reason hamna shida sana, kwenye maswali lazima uwe unaweza kuuliza swali kupata confirmation ya jibu ulilonalo.Big IQU kama wewe unauliza very low questions, unafeli wapi?
Mkuu naomba unielekeze jinsi ya kufanya.Naweza tazama status ya mtu yoyote pasipo kuonekana na natumia Whatsapp ya kawaida...
Kuna mtu kashaelekeza juu hapo
Switch off hiyo kituMkuu naomba unielekeze jinsi ya kufanya.
Niliturn off kipindi flani, nikashindwa kutumia sababu nikimtumia mtu msg akisoma nataka nioneπͺSwitch off hiyo kituView attachment 2880642
Un official whatsapp.. GB, FM, Yo na ndugu zake.Niliturn off kipindi flani, nikashindwa kutumia sababu nikimtumia mtu msg akisoma nataka nioneπͺ
Hamna ambayo inahusu status tupu?
Ndiyo huyu mleta uzi?Kuna kaka mmoja amenitaka nikakataa akani block