Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Unataka uwauzie karungu yeye wewe mwenyewe halafu upotee kama wale pesa za zamani rupia.Nimeshawasiliana na mtailand kwanzia mwezi wa 8 atakuepo nchini hivo anzeni kutafta location za nguyeye bei ni 200,000/= kwa nguyeye mmoja!
Kanunguyeye AKA Hedgehog unataka wangapi..., kuna sehemu wapo wa kutosha ukitoka hukosi wawili au watatu vipi niambie nikupatie hata kwa 1/3 ya hio pricehadi kanunguyeye ni government trophy, adhabu yake ni 20 years au ulipe three times the value. Nungu yeye thamani yake ni 100USD.
Mkuu labda unaongelea Kakakuona AKA Pangolin; Karunguyeye wapo wa kutosha kama vipi mtafute mthailand wako mimi nikutafutie hata kumi uwafuate (cash in hand lakini) sio nipoteze muda wangu kuwakusanya na kuwapotezea muda wao wa kuvinjari na kujipatia kitoweoMwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu!
Cost ya kuwa-raise hao maadui wa Binadamu ipo vipi ? Ukiona / ukisikia price nzuri lazima kuna ugumu..., hio ndio formula ya maisha....kuna shamba moja hivi linamiliki vifutu wakutosha sana kwa mwezi unaweza kutana na vifuta 12, kama kifutu mmoja laki tatu themanini mbon kama pesa yupo
No. 4 ni laki6Hapo sijaelewaa yaani ngozi ya nyoka mmoja ni laki tatu?
Hivi mziki wa koboko mnau jua?Ndiyo ngozi kama ngozi ya nyoka inathamani sana tena ya koboko ndio inasoko sana kwa saivi mkuu! Changamkia fursa hio!
Atakae pata ngozi ya koboko, binafsi ntamuongezea laki moja, kama kuunga mkono juhudi za kijana mwenzangu
MKUu unamaanisha kalunguyeye? huyu anaetembea ameinamisha kichwa? nipe namba inbox tufanye kaziMwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu!
Hata nyie ni kina Koboko,Sasa why uwachokoze kwa kupita karibu yao, kila mtu aendelee na maisha yake uone kama kutakua na matatizo
We waache. Habari nyingine hiyo.Nafkili hawaujui watu wa tabora wanajua vizuri
Kuna miwatu ina matusi humu nani kiboko sasa😂Hata nyie ni kina Koboko,
napita mbali sana nikiwaona😜😜
Koboko na Kina aisha ni ndugu toka enzi za eden.Kuna miwatu ina matusi humu nani kiboko sasa😂
Na tutawakomesha tena tushaonana na koboko kuyapanga mengineKoboko na Kina aisha ni ndugu toka enzi za eden.
msibaguane