Namna ya kuwa tajiri mwaka huu, hii biashara inalipa ni kiboko huhitaji kafara!

Ndio utajiri wenyewe unao usemea mtoa uzi😭😭😭? Mbona bora nikauze figo moja ili kuokoa baadhi ya mambo kuliko pata potea hiyo hapana kwakweli bora kafara πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu!
Bado Dili Linaweza Patikana Na Kalunguyeye Wengi Apa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…