Ndenji five JF-Expert Member Joined Nov 1, 2021 Posts 1,985 Reaction score 3,109 Jan 21, 2022 #101 Ndio utajiri wenyewe unao usemea mtoa uziπππ? Mbona bora nikauze figo moja ili kuokoa baadhi ya mambo kuliko pata potea hiyo hapana kwakweli bora kafara πππ
Ndio utajiri wenyewe unao usemea mtoa uziπππ? Mbona bora nikauze figo moja ili kuokoa baadhi ya mambo kuliko pata potea hiyo hapana kwakweli bora kafara πππ
N NGOMEKONGWE2021 JF-Expert Member Joined Dec 6, 2021 Posts 616 Reaction score 1,225 Jan 22, 2022 #102 chapwa24 said: hadi kanunguyeye ni government trophy, adhabu yake ni 20 years au ulipe three times the value. Nungu yeye thamani yake ni 100USD. Click to expand... Vipi kuhusu kicheche?
chapwa24 said: hadi kanunguyeye ni government trophy, adhabu yake ni 20 years au ulipe three times the value. Nungu yeye thamani yake ni 100USD. Click to expand... Vipi kuhusu kicheche?
Poker JF-Expert Member Joined Oct 7, 2016 Posts 5,445 Reaction score 14,828 Aug 21, 2022 Thread starter #103 NGOMEKONGWE2021 said: Vipi kuhusu kicheche? Click to expand... Kicheche hapana ni nyoka tajwa hpo juu!
NGOMEKONGWE2021 said: Vipi kuhusu kicheche? Click to expand... Kicheche hapana ni nyoka tajwa hpo juu!
D DC Wa JF Member Joined May 24, 2022 Posts 52 Reaction score 49 Aug 21, 2022 #104 Poker said: Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu! Click to expand...
Poker said: Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu! Click to expand...
D DC Wa JF Member Joined May 24, 2022 Posts 52 Reaction score 49 Aug 21, 2022 #105 Poker said: Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu! Click to expand... Bado Dili Linaweza Patikana Na Kalunguyeye Wengi Apa
Poker said: Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu! Click to expand... Bado Dili Linaweza Patikana Na Kalunguyeye Wengi Apa
Poker JF-Expert Member Joined Oct 7, 2016 Posts 5,445 Reaction score 14,828 Aug 21, 2022 Thread starter #106 DC Wa JF said: Bado Dili Linaweza Patikana Na Kalunguyeye Wengi Apa Click to expand... Ngoja mwezi wa 12 mtailand akirudi nchini ntakujuza!
DC Wa JF said: Bado Dili Linaweza Patikana Na Kalunguyeye Wengi Apa Click to expand... Ngoja mwezi wa 12 mtailand akirudi nchini ntakujuza!
kj75 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2019 Posts 539 Reaction score 637 Aug 21, 2022 #107 jerryempire said: Naona unawatafutia watu vita na maliasili bila kujua Click to expand... Mkuu c Bora maliasili Sasa koboko atakuacha ukiwa mzima?
jerryempire said: Naona unawatafutia watu vita na maliasili bila kujua Click to expand... Mkuu c Bora maliasili Sasa koboko atakuacha ukiwa mzima?
Poker JF-Expert Member Joined Oct 7, 2016 Posts 5,445 Reaction score 14,828 Aug 21, 2022 Thread starter #108 kj75 said: Mkuu c Bora maliasili Sasa koboko atakuacha ukiwa mzima? Click to expand... Kuna utaalam wa kuwakamata!
kj75 said: Mkuu c Bora maliasili Sasa koboko atakuacha ukiwa mzima? Click to expand... Kuna utaalam wa kuwakamata!