Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Huyo shemeji yako yupo hai mpaka leo?
 
Hamtaweza kutuona hyo njia tulisha stukia tuka iblock kutuona ina tumeweka maruweruwe ili kujifariji. Ila kuna njia 1 ya kutuona tushashindwa kuu block. Kisamvu...mbaazi....sukari...mwiko...mikaa....hakuna kitu
Kuna wakati nikiwa mdogo nikiota maruweruwe bibi alikuwa ananiwekea mkaa kwa mto...kumbe!!
 
Uchawi ni sayansi moja ya kimaskini saana, ingekuwa na uwezo wa kuniruhusu kuingia bank strong room na kuchukua madola hapo sawa.. au kusafiri hadi US, Ulaya kwa ndege bila visa na wafanyakazi wa ndege wakanihudumia bila shida aisee ningejiunga nao.

Kifupi uchawi hauna faida tangible..
 
Uchawi na umasikini ni sawa na pete na kidole

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kijiti cha muhogo pia kina maajabu enzi hizo majambazi sugu yalikuwa yanatabia za kushonewa hirizi ndani ya miili yao siku mkimdaka mtapiga hata mtenganishe kichwa na kiwiliwili bado mtu unakuta anapumua hafi. Raia wakimvunjia kijiti cha muhogo dakika moja mtu anakata roho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kisamvu tu hata ukikaaa chini ya mti wa muhogo, hakikisha kuwe na umande, niliwahi kujaribu ila kadri masaa yanavyosogea hofu inaongezeka ( hapo sjaanza kuona mauza uza)[emoji1787][emoji23]....Wenge likanifanya nikimbie..Sijajaribu tena.
 
Kuna kipindi nilikuwa naona wachawi eeh bana siku hyo kariakoo si nikawa naona vitu vya ajabu nikishtuka vinapotea, aisee kumbe kariakoo ule wingi wa watu Kuna viumbe vya ajabu sana kule.
Mimi mbona sivion Ni kwamba wewe Ni MCHAWI au mlokole MWENYE hofu ya Mungu cariha
 

Nasikia dawa yao minyaa tu.
 

Mkuu nimetaka niongee kitu ila Wacha ninyamaze
 
mshikishe mkono wa kulia anyooke nacho kama alivyolala haina manuizi yoyote ni baada tu ya kukikata shambani.
Asante sana mkuu. Ngoja maelekezo haya nimwachie ndugu yangu ili kama nitauliwa kichawi nikamnyooshe alieniua!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nikajua uzi wa Mshana Jr
Kumbe mpo wa kutosha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana mhuu na hongera kwa kutopata upofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…