Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Ikoje hiyo chumvi ndugu
 
Ku restore settings unafanyaje maana mie staki kuwa chizi mzee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ unaondoaje hio hali ukishaianzisha!?
 
Tatizo wale wajinga hawachokagi kupambana watarudi nyuma kidogo ila wanajipanga kuja kukuvamia kabisa
 
Ni noma aisee vita yao labda uwe unalala na kuamka kanisani! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kuna kipindi nililianzisha kwa kwenda Tanga bro wangu alidhuriwa kishirikina nikaenda kwa jamaa anaitwa โ€œmtu mzitoโ€ kumuagua kipindi niliporudi vibweka vyake havikuwa vya masihara mara usikie watu wanacheka nyumba ya jirani๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… wakati watu wamelala na kuzima taa!

Unaskia wanawake wanapiga stori kama wapo kijiweni na kucheka sana ila wanachokisema hukisikii! Kuna siku nimeamka usiku naskia watu kama wanaongea juu usawa wa dirisha nikaanza kemea nikaskia ni kama msela na manz ndio wanawasiliana kama kwenye simu wanapangana waelekee wapi!

Nakumbuka hiki kipindi nilipata hali ya kukonda sana mwili mpaka demu wangu akaanza kunichukia na kuhisi nina ngoma! ๐Ÿ˜…

Nikakaa sana yale mauza uza yakapungua ila nikawa nikilala naamka nimekwaruzwa mwilini deile yani zile alama zikiisha nakuta nimekwaruzwa tena! Nikapitia misuko suko sana ya maisha shule ikawa sioni vizuri ubaoni kichwa kikawa kizito sana kukamata vitu darasani mara nikapigwa suspension nikiwa chuo!

Dah ni noma haya mambo! Naogopa sana ushirikina! Last time nilitumia dawa za kisuni kulikuwa na hali flani ya mwili kusisimuka na nikawa naskia sauti kama za upepo nikiwa ndani kwangu kufuatilia nikaambiwa huyo ni jini mahaba ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… atakuwa anakufatilia kwa mujibu wake nikatumia dawa za kisuni nikasepa maana pia maelewano baina yangu na bibie yalikuwa magumu sana ugomvi kila saa bila sababu! Ilinisaidia mpaka leo tuko freshi
 
Basi sawa ngoja nami nitafuta dawa za kisuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karikoo sio sehemu nzuri asilimia 20 ni majini,30 walonzi,20 wachawi,30 wezi,waharifu.
Namba zako zinaonyesha 100% ni Wahalifu.
Kwahiyo hakuna wauzaji na wanunuzi?
Au wanauza na kununua wao wenyewe?
 
Ningejaribu hii mbinu, ila bahati mbaya dini ya kiislam hairuhusu kumzika maiti na vitu vya kidunia., (Vitu visivyoruhusiwa).
 
Kumbe rufaa zao wachawi wanaweza kupeleka Hadi the Hague Yao.
 
Hahahahaha,[emoji23][emoji23][emoji23] pole mwalimu.
Za kuambiwa changanya na zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ