Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

Kila mtu wakiwemo viongozi wa Israel yenyewe wameona aibu kulizungumzia hili shambulio kutokana na kushindwa kufikia malengo.

Shambulio lililozuiliwa kiulani na Iran yenyewe bila madhara yoyote, unaweza kufananishaje na lile lililoshindwa kuzuiwa na nchi zaidi ya 8 na likapiga target iliyokusudiwa!

Shambulio la Iran liliishtua na kushangaza dunia jinsi lilivyofanikiwa kupenya ngome za ulinzi za mataifa kama US, UK, France, Germany, Saudi Arabia, Jordan, Iraq, Syria na Israel yenyewe. Hili la Israel watu wengi duniani hawajui kama limetokea maana halikuleta madhara. Lakini pia limeivua nguo Israel kwa shambulio lake kuzuiwa na nchi moja tu (Iran) bila msaada wa US wala UK.
1000004395.png
 
Unajua hii vita watu wanaichukulia kwa urahisi sana na ushabiki, bila ya kujua nini yanaweza kuwa madhara makubwa ya vita hiyo.

Eneo la mashariki ya kati tayari liko kwenye mgogoro mkubwa, na ndiyo maana unaona baraza la usalama la umoja wa mataifa linakaa vikao kila siku, lengo ni kushinikiza hii hali isiendelee, na wameonya kama hali itazidi kuwa mbaya na Iran na Israel kuingia vitani rasmi, basi kuna uwezekano mkubwa wa kuingia vita ya tatu ya dunia WW3.

Hata Mmarekani mwenyewe yuko pamoja na Israel, ila alisema swala la how Israel will respond to the recent attacks from Iran anawaachia wa Israel.

Kikubwa tuombe haya mambo yasifike huko, kuna madhara makubwa sana ya kiuchumi yataenda tokea, mbali na madhara ya kibinadamu
Yasipofika usipopataka dunia mpya haiwezi kuzaliwa
 
Utabiri wa Ezekiel sura ya 38 unatimia. Gog Yaani Urusi watajiunga na Magogu Yaani Iran kuivamia Israel, hapo ndio utukufu wa Bwana Mungu kwa watu wake Israel utakapoonekana . Hizi ni dalili tu unabii utatimia Iran na washirina wake hawataweza.
Waafrika tutaendelea kugombana na viongozi wetu kila siku kuwa hawatuletei maendeleo. Kumbe maendeleo yanashindwa kupatikana kutokana na upumbavu wa watu weusi kama wewe ambao wanaamini kuwa Mungu ana watu wake special (waisrael tu), sio mimi na wewe.

Kwanini unaamini kuwa Mungu watu wake ni waisrael tu?

Je kwanini Mungu ameamua kufanya ubaguzi wa kuchagua waisrael kuwa watu wake na sio mimi au wewe?

Je wewe mgogo au mmakonde Mungu alikuumba ili uje kuwa mtu wa nani?

Huu upumbavu sijui waisrael ni watu wa Mungu, sijui waisrael wamebarikiwa kila kitu, Wachina waliukataa, wakaamini kuwa Mungu ni wa wote, habagui kabila, rangi wala nchi.

Ndomaana leo hii wachina wamepiga hatua kubwa kiuchumi, kijeshi, kijamii, kiteknolojia na kielimu, baada ya kujiweka mbali na propaganda za taifa gani ni la Mungu.

Miaka ya 70 Afrika tulikuwa sawa kiuchumi na China, baada ya sisi kukumbatia habari za waisrael ni watu wa Mungu pekee na kuanza kujaza misikiti na makanisa mitaani. Wenzetu wachina wakawekeza katika viwanda, shule, teknolojia, biashara nk.

Sasa leo hii inasemekana kuwa China ni nchi ya pili kwa uchumi duniani, japo data zingine zinasema inawezekana ikawa ya kwanza sema tu Mmarekani na media zake wanaamua kupika propaganda ili ionekane kuwa US bado super power wa uchumi na jeshi.
 

Attachments

  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    107.9 KB · Views: 5
Tatizo kubwa la Iran ni kushindwa kujua mpaka sasa shambulizi lilitokea wapi!


MK254 njoo malizana na watu wako.
 
lakini inasemekana wamepiga rada ya S300 iliyokuwa inalinda vinu vya nuclear.
Propaganda za wazungu tu hizo na media zao, ili kuficha aibu ya kipigo chao walichopigwa wa waajemi. Ndo hawa hawa waliowahi kutuaminisha kuwa waafrika wa zamani walikuwa ni manyani, kabla ya kubadilika na kuwa binadam kamili.

So kama unahitaji kudanganywa waamini, lakini kama hauhitaji kudanganywa wapuuze.
 
Propaganda za wazungu tu hizo na media zao, ili kuficha aibu ya kipigo chao walichopigwa wa waajemi. Ndo hawa hawa waliowahi kutuaminisha kuwa waafrika wa zamani walikuwa ni manyani, kabla ya kubadilika na kuwa binadam kamili.

So kama unahitaji kudanganywa waamini, lakini kama hauhitaji kudanganywa wapuuze.
No.
Tokea jana naona kuna habari picha za satellite kwenye mitandao ikionyesha uharibu uliofanywa na shambulio la Israel.

Taarifa za madhara ya shambulio la Iran kwa Israel ni kujeruhiwa mtoto kujeruhiwa na mabaki ya kombora lililotunguliwa.

sina taarifa zaidi.
 
Tukio la Jana la Israel kushambulia kwa ndege nchini Iran kujibu shambulizi la drones la Iran lililotangulia ni la kiwango cha juu kuashiria vita kamili . Hili Shambulizi lilipangwa kwa mkakati kama vile jeshi lililoko vitani serious na sio kama michezo ya kidali poo anayojaribu kufanya Iran. Hili ni shambulizi la mkakati mpana ukilitizama kwa sababu

Moja, Kuna chenga ya kijeshi waliofanyiwa Iran, ''military deception''(MILDEC) na serikali ya Israel. Chenga ya kijeshi ni kitendo cha kumuaminisha kiuongo adui kwamba utafanya au hautafanya jambo fulani ili kumchanganya afanye namna itakavyokuwa na faida kwako, ni kama kumpoteza maboya. Baada ya shambulio la Iran serikali ya Israel ilikaa vikao vingi na taarifa za mwisho za vikao hivyo zilizotoka ziliashiria Israel hawatafanya shambulizi lolote ndani ya Iran hivi karibuni lakini muda mfupi tu wameshambulia. Hii ni tofauti na vile Iran ilivyofanya shambulizi la kupanga la droni na kulitekeleza kwa siku nzima ikiwapa Israel na washirika wake muda mrefu wa kutosha kujipanga kukabiliana nalo.

Mbili, wamepiga karibia katikati kabisa ya Iran na zaidi wamepiga eneo muhuimu na la kimkakatil la Iran kijeshi na kiulinzi. Isfahan ni eneo ambalo kuna miradi ya nuclear, kambi kubwa ya jeshi na viwanda vya uzalishaji silaha zikiwemo droni. Hili ni onyo kwa Iran kwamba wamedhamiria vita na wanaweza kufika na kupiga popote katika nchi hiyo yenye ukubwa wa eneo mara mbili ya Tanzania.

Tatu, Israel wamepiga nchi tatu kwa wakati mmoja kwa mkupuo. Katika siku moja wameshambulia Syria, Iraq na Iran kuwaonyesha wa-Iran kwamba wako tayari kwa lolote.
Sasa tutegemee majibu kutoka kwa Iran.

Nne, Israel imeonyesha kwamba inaweza kufanya maamuzi yake peke yake kama nchi huru bila kujali washirika wake wa Marekani na Ulaya linapokuja suala la ulinzi, vita na pride ya nchi yao. Pamoja na msimamo wa Marekani na Uingereza wa kwamba hawataiunga Israel katika mashambulizi ya Iran kwa sasa, Israel imeendelea mbele na kufanya mashambulizi yenyewe kama ilivyopanga na kuona inafaa bila kujali msimamo wa washirika wake.

Shambulizi ukilizungumzia ni hili?

IMG_20240420_072337.jpg


SI tulishakubaliana ngoma ya watoto haikeshi?
 
No.
Tokea jana naona kuna habari picha za satellite kwenye mitandao ikionyesha uharibu uliofanywa na shambulio la Israel.

Taarifa za madhara ya shambulio la Iran kwa Israel ni kujeruhiwa mtoto kujeruhiwa na mabaki ya kombora lililotunguliwa.

sina taarifa zaidi.
Mkuu mbona unakuwa kama vile mtu usiejua lolote katika dunia ya leo?

Hiyo picha kama ni ya shambulio la Russia huko Ukraine, alaf wakaamua kuifanya kuwa ni ya shambulio la Israel huko Iran wewe utajuaje?

Hivi kweli na umri huo unataka kuniambia kuwa haujui, au kuwahi kusikia na kufuatilia propaganda za media za magharibi kweli!

Yani Israel ifanye shambulio la aina hiyo Iran, alaf tuambulie kuoneshwa picha tu badala ya video ya shambulio 😂😂😂

Shambulizi la Iran lilikuwa babkubwa mpaka dunia nzima ililaani. Pamoja na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kujifanya kuwa wana vifaa bora vya kuzuia mahambulizi lakini bado walishindwa kuzuia makombora yaliosafiri takriban kilometres zaidi ya elf mbili. Kumbuka shambulio la Iran ndio shambulio pekee lililozuiliwa na nchi 8 zinazojulikana kuwa ni nchi zenye vifaa bora vya kuzuia shambulizi, na bado zote zilichemsha kuzuia kudadeki😂😂😂.

Sasa kashambulio ka Israel kalikuwa kakipuuzi sana, jumlisha kalidhibitiwa na Iran peke yake bila msaada wa Saudia wala Jordan. Ndomaana nchi za magharibi zikachukia na kuanza kukusanya kusanya picha kutoka sehem wanazozijua wenyewe na kudai eti ni za Iran 😂😂😂

Lengo la Iran ilikuwa kuwaonesha wazungu kuwa hakuna nchi itakayoweza kuzuia mashambulizi yake kama itaamua kuichapa Israel. Na ndomaana aliwapa taarifa mapema kabla ya shambulizi ili wajipange kuzuia na yeye muiran aone udhaifu wa vifaa vyao vya kuzuia mashambulizi.

Ila kashambulio ka Israel kalikuwa ka kushtukiza bila taarifa, wakiamini kuwa huenda watakuta mitambo ya Iran ya kuzuia makombora itakuwa imezimwa, kumbe walijidanganya aisee

Wazungu washaona kila mtu ni mpumbavu, kwamba lolote watalolitengeneza watu wajinga watalikubali hata kama linaonesha uongo wa wazi. Tel aviv ilikoswa koswa kidogo tu kuunguzwa. Naamini siku ile Netanyahu hakulala ndani kwake 😂😂😂
 

Attachments

  • 5694720-74202fee70ac282f58720672dc9d5d76.mp4
    7.6 MB
Mkuu mbona unakuwa kama vile mtu usiejua lolote katika dunia ya leo?

Hiyo picha kama ni ya shambulio la Russia huko Ukraine, alaf wakaamua kuifanya kuwa ni ya shambulio la Israel huko Iran wewe utajuaje?

Hivi kweli na umri huo unataka kuniambia kuwa haujui, au kuwahi kusikia na kufuatilia propaganda za media za magharibi kweli!

Yani Israel ifanye shambulio la aina hiyo Iran, alaf tuambulie kuoneshwa picha tu badala ya video ya shambulio 😂😂😂

Shambulizi la Iran lilikuwa babkubwa mpaka dunia nzima ililaani. Pamoja na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kujifanya kuwa wana vifaa bora vya kuzuia mahambulizi lakini bado walishindwa kuzuia makombora yaliosafiri takriban kilometres zaidi ya elf mbili. Kumbuka shambulio la Iran ndio shambulio pekee lililozuiliwa na nchi 8 zinazojulikana kuwa ni nchi zenye vifaa bora vya kuzuia shambulizi, na bado zote zilichemsha kuzuia kudadeki😂😂😂.

Sasa kashambulio ka Israel kalikuwa kakipuuzi sana, jumlisha kalidhibitiwa na Iran peke yake bila msaada wa Saudia wala Jordan. Ndomaana nchi za magharibi zikachukia na kuanza kukusanya kusanya picha kutoka sehem wanazozijua wenyewe na kudai eti ni za Iran 😂😂😂

Lengo la Iran ilikuwa kuwaonesha wazungu kuwa hakuna nchi itakayoweza kuzuia mashambulizi yake kama itaamua kuichapa Israel. Na ndomaana aliwapa taarifa mapema kabla ya shambulizi ili wajipange kuzuia na yeye muiran aone udhaifu wa vifaa vyao vya kuzuia mashambulizi.

Ila kashambulio ka Israel kalikuwa ka kushtukiza bila taarifa, wakiamini kuwa huenda watakuta mitambo ya Iran ya kuzuia makombora itakuwa imezimwa, kumbe walijidanganya aisee

Wazungu washaona kila mtu ni mpumbavu, kwamba lolote watalolitengeneza watu wajinga watalikubali hata kama linaonesha uongo wa wazi. Tel aviv ilikoswa koswa kidogo tu kuunguzwa. Naamini siku ile Netanyahu hakulala ndani kwake 😂😂😂
hilo shambulio la iran sijaona picha zake za uharibifu zilizofanya huko Yerusalemu. tupia picha mkuu.
 
Back
Top Bottom