Namna Yanga inaongelewa huko Sudan kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mechi yao na Al hilal (by google translate)

Namna Yanga inaongelewa huko Sudan kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mechi yao na Al hilal (by google translate)

Hawa yanga Kwa mdomo huu watakacho kutana nacho huko sudani hawata amani macho yao
Mpira ni mchezo wa hadharani, tumewaona Al hilal mechi zao zote mbili na Saint George hawana maajabu yoyote.

Tumewaona wamecheza na vibonde wetu Simba kwenye bonanza, Tena vibonde wetu Simba wakiwa hawapo full squad yao na bado All hilal ilitolewa kamasi na vibonde wetu Simba.

Kwa Yanga hii Al hilal anapigwa nje ndani na hapati hata sare moja.
 
Nakuona unavyo taka ku Rap huku unatafuna karanga

Al Hilal hawawezi kupoteza muda wao kuongelea timu ambayo mara ya mwisho record yake yenye unafuu ni miaka ya 1998 BC

Huyo Mayele ni threat kwa Zalan, kwa Al Hilal huyo mbona ni zuchu tu.
Makolo utawajua tu, lazima wachomoze 🤣🤣
 
Al Hilaly hawawezi kupoteza muda kufatilia timu kama hii
20220920_154416.jpg
IMG-20220418-WA0012.jpg


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Nakuona unavyo taka ku Rap huku unatafuna karanga

Al Hilal hawawezi kupoteza muda wao kuongelea timu ambayo mara ya mwisho record yake yenye unafuu ni miaka ya 1998 BC

Huyo Mayele ni threat kwa Zalan, kwa Al Hilal huyo mbona ni zuchu tu.
Pia ni threat kwa simba.

Mbona simba hujaitaja[emoji12]
20220918_111805.jpg
 
Yanga tumedhamilia kuwafunga watu midomo mwaka huu.

Wakati sisi tunasajili timu ya ushindani wako walikuwa bize kuzurura, Sasa pumba na Mchele mtaviona kwenye mashindano haya ya Champions league.
Ama kweli tuwe tunatunza akiba ya maneno
 
Yanga tumedhamilia kuwafunga watu midomo mwaka huu.

Wakati sisi tunasajili timu ya ushindani wako walikuwa bize kuzurura, Sasa pumba na Mchele mtaviona kwenye mashindano haya ya Champions league.
Okay muda umeshasema....pumba ni ipi na mchele ni upi?
 
Tumewaona wamecheza na vibonde wetu Simba kwenye bonanza, Tena vibonde wetu Simba wakiwa hawapo full squad yao na bado All hilal ilitolewa kamasi na vibonde wetu Simba.

Kwa Yanga hii Al hilal anapigwa nje ndani na hapati hata sare moja.
Dah yani Al hilal ilitolewa Kamasi na simba B??
 
NAMNA YANGA INAONGELEWA HUKO SUDAN🔥🔥🔥

Wafahamu kiufupi YOUNG AFRICANS @yangasc wapinzani wa AI Hilal Round ya kwanza CAFCL

Hawa ndio wafalme wa soka la Tanzania, ndiyo Klabu iliyobeba mataji mengi zaidi nchini humo (28) wakifatiwa na wapinzani wao ambao ni watani wao wa Jadi klabu ya Simba.

Wana Kikosi kinachokadiriwa kuwa na thamani ya Dora za Marekani $ Million 1.25 Ambayo ni zaidi ya Tsh Bilion 2.5.

Baada ya Misimu kadhaa kutofanya vizuri kimataifa, Waliamua kubadili mfumo wa uendeshaji wa Klabu kutoka kwa wanachama na kuwa kampuni inayojiendesha na sasa wana Raisi Ambaye alikua Mkurugenzi Mtendaji wa wafadhili wa klabu hiyo GSM Anaeitwa Hersi Said.

Raisi Hersi amepania kufanya makubwa Afrika kwa kusajili wachezaji wenye profile kubwa barani Afrika na nje ya Afrika, Wachezaji kama Stephane Aziz ki 🇧🇫 Ambeye alikua mchezaji bora wa ligi kuu nchini Ivory Coast, Gael Bigirimana 🇧🇮 Ambaye amewahi kukipiga ligi pendwa duniani EPL 🙌🏽

Wana Yannic Bangala 🇨🇩 Huyu ndiye MVP wa ligi yao pale Tz, anauwezo wa kucheza namba zote, muweke beki au Kiungo hakuangushi, pia wana Feisal Salum 🇹🇿 huyu ni Kiungo anasifika kwa kupiga mashuti ya mbali ambapo mara kadhaa amewaadhibu watani wao Simba sc, lakini pia wana Tuisila Kisinda ambaye anaspidi isiyoelezeka, anaweza kukimbia kutoka goli moja mpaka lingine kwa sekunde tano tu.

Mchezaji wa kuchungwa zaidi ni huyo kwenye Picha, Anaitwa Fiston Mayele 🇨🇩 ambaye mpaka sasa katika mechi 7 amefunga magoli 11 🙌🏽 ndiye mchezaji maarufu na pendwa Tanzania nzima sio kwa wazee, watoto na watu wazima, anasifika zaidi na style yake ya ushangiliaji ambayo ni maarufu sana Nchini 🇹🇿 (KUTETEMA).

Ndiye mchezaji anaependwa mpaka na wapinzani wao Klabu ya Simba, kutokana na uwezo wake, anauwezo wa kuganda hewani akausubili mpira kwa sekunde kadhaa na akafunga goli, katika round ya kwanza Amewafunga hatrick mbili mfululizo majilani zetu Zalan FC hatrick yake ya pili alifunga ndani ya dakika 3 🙌🏽 Mtamuona wenyewe siku akija hapa Sudan, Mwamba hazuiliki.

Kiufupi ni kwamba wasudani wote tushikamane kwa dua na sala na tuwe tayari kwa lolote, tunaweza pita kwenda makundi au playoff ya shirikisho.

Kwa msaada wa Google Translate.
Mkuu huko Sudan wanasemaje kuhusu Bangala kufanya makosa yaliyosababisha goli?
Wanasemaje kuhusu feitoto kutopiga hata shuti moja walau lililoenda nje?
Wanasemaje kuhusu azizi ki kuishia kufungua mdomo kuliko kucheza mpira?
Vipi kuhusu biringanya, wanasema hakucheza sababu ya uzee?
Hawajasema chochote kuhusu ile pumzi ya moto aliyoshusha Hersi pale uwanjani?
 
Ila matola anakuaga na mbwembwe [emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom