Jf bila bando ilianza kitambo sanaKwahiyo JF siku hizi unaingia bila bando?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf bila bando ilianza kitambo sanaKwahiyo JF siku hizi unaingia bila bando?
Mpira ni mchezo wa hadharani, tumewaona Al hilal mechi zao zote mbili na Saint George hawana maajabu yoyote.Hawa yanga Kwa mdomo huu watakacho kutana nacho huko sudani hawata amani macho yao
Tuelekeze unafanyaje?Jf bila bando ilianza kitambo sana
Makolo utawajua tu, lazima wachomoze 🤣🤣Nakuona unavyo taka ku Rap huku unatafuna karanga
Al Hilal hawawezi kupoteza muda wao kuongelea timu ambayo mara ya mwisho record yake yenye unafuu ni miaka ya 1998 BC
Huyo Mayele ni threat kwa Zalan, kwa Al Hilal huyo mbona ni zuchu tu.
Duh! Kweli ongea na watu vizuri....hata mimi siijui hiiJf bila bando ilianza kitambo sana
Maxence Melo hebu tuelezee kuhusu kutumia JF bila bando.Duh! Kweli ongea na watu vizuri....hata mimi siijui hii
Pia ni threat kwa simba.Nakuona unavyo taka ku Rap huku unatafuna karanga
Al Hilal hawawezi kupoteza muda wao kuongelea timu ambayo mara ya mwisho record yake yenye unafuu ni miaka ya 1998 BC
Huyo Mayele ni threat kwa Zalan, kwa Al Hilal huyo mbona ni zuchu tu.
Ama kweli tuwe tunatunza akiba ya manenoYanga tumedhamilia kuwafunga watu midomo mwaka huu.
Wakati sisi tunasajili timu ya ushindani wako walikuwa bize kuzurura, Sasa pumba na Mchele mtaviona kwenye mashindano haya ya Champions league.
Okay muda umeshasema....pumba ni ipi na mchele ni upi?Yanga tumedhamilia kuwafunga watu midomo mwaka huu.
Wakati sisi tunasajili timu ya ushindani wako walikuwa bize kuzurura, Sasa pumba na Mchele mtaviona kwenye mashindano haya ya Champions league.
Dah yani Al hilal ilitolewa Kamasi na simba B??Tumewaona wamecheza na vibonde wetu Simba kwenye bonanza, Tena vibonde wetu Simba wakiwa hawapo full squad yao na bado All hilal ilitolewa kamasi na vibonde wetu Simba.
Kwa Yanga hii Al hilal anapigwa nje ndani na hapati hata sare moja.
Mkuu huko Sudan wanasemaje kuhusu Bangala kufanya makosa yaliyosababisha goli?NAMNA YANGA INAONGELEWA HUKO SUDAN🔥🔥🔥
Wafahamu kiufupi YOUNG AFRICANS @yangasc wapinzani wa AI Hilal Round ya kwanza CAFCL
Hawa ndio wafalme wa soka la Tanzania, ndiyo Klabu iliyobeba mataji mengi zaidi nchini humo (28) wakifatiwa na wapinzani wao ambao ni watani wao wa Jadi klabu ya Simba.
Wana Kikosi kinachokadiriwa kuwa na thamani ya Dora za Marekani $ Million 1.25 Ambayo ni zaidi ya Tsh Bilion 2.5.
Baada ya Misimu kadhaa kutofanya vizuri kimataifa, Waliamua kubadili mfumo wa uendeshaji wa Klabu kutoka kwa wanachama na kuwa kampuni inayojiendesha na sasa wana Raisi Ambaye alikua Mkurugenzi Mtendaji wa wafadhili wa klabu hiyo GSM Anaeitwa Hersi Said.
Raisi Hersi amepania kufanya makubwa Afrika kwa kusajili wachezaji wenye profile kubwa barani Afrika na nje ya Afrika, Wachezaji kama Stephane Aziz ki 🇧🇫 Ambeye alikua mchezaji bora wa ligi kuu nchini Ivory Coast, Gael Bigirimana 🇧🇮 Ambaye amewahi kukipiga ligi pendwa duniani EPL 🙌🏽
Wana Yannic Bangala 🇨🇩 Huyu ndiye MVP wa ligi yao pale Tz, anauwezo wa kucheza namba zote, muweke beki au Kiungo hakuangushi, pia wana Feisal Salum 🇹🇿 huyu ni Kiungo anasifika kwa kupiga mashuti ya mbali ambapo mara kadhaa amewaadhibu watani wao Simba sc, lakini pia wana Tuisila Kisinda ambaye anaspidi isiyoelezeka, anaweza kukimbia kutoka goli moja mpaka lingine kwa sekunde tano tu.
Mchezaji wa kuchungwa zaidi ni huyo kwenye Picha, Anaitwa Fiston Mayele 🇨🇩 ambaye mpaka sasa katika mechi 7 amefunga magoli 11 🙌🏽 ndiye mchezaji maarufu na pendwa Tanzania nzima sio kwa wazee, watoto na watu wazima, anasifika zaidi na style yake ya ushangiliaji ambayo ni maarufu sana Nchini 🇹🇿 (KUTETEMA).
Ndiye mchezaji anaependwa mpaka na wapinzani wao Klabu ya Simba, kutokana na uwezo wake, anauwezo wa kuganda hewani akausubili mpira kwa sekunde kadhaa na akafunga goli, katika round ya kwanza Amewafunga hatrick mbili mfululizo majilani zetu Zalan FC hatrick yake ya pili alifunga ndani ya dakika 3 🙌🏽 Mtamuona wenyewe siku akija hapa Sudan, Mwamba hazuiliki.
Kiufupi ni kwamba wasudani wote tushikamane kwa dua na sala na tuwe tayari kwa lolote, tunaweza pita kwenda makundi au playoff ya shirikisho.
Kwa msaada wa Google Translate.
Huyo naye ni miongoni mwa wale HAMNAZO, ukiwatoa WALE WAWILI!Mbona unanisuta? Sina bando . Kila la heri mbona mm najua mtatoboa tuu? Mi ungenisaidia kuweka hapa ili tutranslate wote