Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Haya ngoja najua dawa yakoIla unapenda kukurupuka da Mau πππ
Hivi unamjua tunayemuongelea??
Jitahidi uwe unasoma na kuelewa kwanza, ww ni shosti yangu???
Da Joannah embu msamaraizie Mau ananichosha
Unataka picha kimaukweliIkawe kheri Mrs Kileo ....am happy for you
Amezoea uchokoziSio wewe da Mau.....yuleee humjui na wewe?
Nyiee....mie kinga yangu ndogo, ngoja niende jukwaa la siasa.Zigo la misumari lile wifi ππππ
Heee!! Wizo kumbe una ujauzito na huniambiii!!Kumekucha Kumekucha
JF bana kuna viumbe, aisee mkuu mimi mke wa mtu na hapa nilipo na mimba kuuuubwaa.!!
Countrywide nisaidie kumjibu hebu
πππ Wifi embu rudi jukwaa la siasa kwani unataka kugombea viti maalum??Nyiee....mie kinga yangu ndogo, ngoja niende jukwaa la siasa.
ππππ Wizo nnayo kuuubwaaa, naenda kuitwa mama mwenzioHeee!! Wizo kumbe una ujauzito na huniambiii!!
Makubwaa!
Bichwa Komwe nambari wani kwa kuomba vocha πππHebu watajeee hapa, tena nasubiri kwa hamu.
Muhasibu, fanyaa kuwaleta jamvinii plz.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heheheheee, karibu kwenye chama cha wazazi my wizo.ππππ Wizo nnayo kuuubwaaa, naenda kuitwa mama mwenzio
ππππ Wizo unaombaga vocha??Bichwa Komwe nambari wani kwa kuomba vocha πππ
Udugu naaibika mwenzio leoo nisitiri
Wee usinambie wizo ππππHeheheheee, karibu kwenye chama cha wazazi my wizo.
Kulea raha, mara ka junior kameiba rimoti, mara kamepanda mabeganii, jamaniiiiiiiii..... πππ
Hongera wizo
Hongera in advance Mama kijacho kama ni kweli,pengine ni gia tu ya kumkatisha tamaa tajiri wa Ng'ombe.ππππ Wizo nnayo kuuubwaaa, naenda kuitwa mama mwenzio
π€£π€£π€£π€£SanaaAmezoea uchokozi
Hiyo laki ni heri unipe mie nikajisonsomole minyama kuliko kumpa huyo kijuso mtoka pabaya!Awalete fasta, km mi niliwahi kumtumia msg pm ya kuomba vocha nampandia dau
Km nilimuomba 10k mi nampa laki ss hivi
Bado nafukuzia uteuzi wa kyupiii nihongwe vieteee.....nammendea Mwashambwa, DC mtarajiwaaπ€£π€£π€£π€£πππ Wifi embu rudi jukwaa la siasa kwani unataka kugombea viti maamum??
Ndio nakuja PM...Unataka picha kimaukweli
Acha tu udrruuguu akeee ππ nilimuombaga vocha dronedrake hakunijibu hadi leo πππππ Wizo unaombaga vocha??
πππππ Kweli ninayo jirani, ila km atakubali alete hizo ngβombe sawaHongera in advance Mama kijacho kama ni kweli,pengine ni gia tu ya kumkatisha tamaa tajiri wa Ng'ombe.
π
Mwenzio anajimudu atume vocha Kwa maajabu yapi?π€£π€£π€£Acha tu udrruuguu akeee ππ nilimuombaga vocha dronedrake hakunijibu hadi leo π
ππππ Ila wizo umenichekesha eti kijusoHiyo laki ni heri unipe mie nikajisonsomole minyama kuliko kumpa huyo kijuso mtoka pabaya!