RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Jirani Mashaallah, mzigo upoπ . Baada ya kumaliza kula lunch ile saa nane kamili, wale Jamaa wawil waliowaaga mmoja wao ndio Mimi, lkn mwambie yule workmates wako apunguze kula jirani.Wee bana acha kufananisha wadada wa watu huko πππ
Mimi niko bush huku nimetulia nachoma hindi
Jirani amka hiyo ndoto utajikojolea ujue πππJirani Mashaallah, mzigo upoπ . Baada ya kumaliza kula lunch ile saa nane kamili, wale Jamaa wawil waliowaaga mmoja wao ndio Mimi, lkn mwambie yule workmates wako apunguze kula jirani.
Wacha weee ππππKuna mzigo wa maana nilikua nachukuliwa[emoji23]
Mzigo haswaa, bado siamini amini aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full tafraniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaruka fence ya umeme unaenda kupigwa shoti.
πππππππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full tafraniii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko ndoani mwaka 8 huu. Plz mlongo.Eeeh huyo Yuko single mchukue tu.
Na makendee yake kabisaaa, yatakua yanachucha majiiiHuyo atakupasua kichwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utakomaaa subiriii kutajwa huko uduguu.Bichwa Komwe nambari wani kwa kuomba vocha [emoji85][emoji85][emoji85]
Udugu naaibika mwenzio leoo nisitiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.Acha tu udrruuguu akeee [emoji23][emoji23] nilimuombaga vocha dronedrake hakunijibu hadi leo [emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo yasiwe mengiWanawake na nyie muanze kuandika ma crush zenu wa JF...
JF ni kisangaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naogopa nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiiii???
Kusaka utamu lazima mkuuUmevurugwaaa wee sio bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kakataa na nimeamua nije kwako mazimaNa makendee yake kabisaaa, yatakua yanachucha majiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko kwenye mtandao mwingine nako ana crush wake au sioπ€£π€£π€£π€£JF ni kisangaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Crush wangu nkamkuta ktk mtandao fulaniii, woiiiih na hamu ilikata hapo hapo.
Jf mie akuuuu.
Kwa Mila za nyumbani nikishatoa ng'ombe lazima nile mzigo. Tena mashangazi zangu wanakuwepo ili mwanamke akizingua wananisaidia kumtanua miguu.Yani mihela itupite hivi hiviπ€£π€£π€£
Kwanza atwambie hao ng'ombe wapo Meatu au Simiyu.....unaweza kutusaidia kutuconnect na watu wa logisticsπ€£π€£π€£