Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Status
Not open for further replies.
Wee bana acha kufananisha wadada wa watu huko 😂😂😂
Mimi niko bush huku nimetulia nachoma hindi
Jirani Mashaallah, mzigo upo😅. Baada ya kumaliza kula lunch ile saa nane kamili, wale Jamaa wawil waliowaaga mmoja wao ndio Mimi, lkn mwambie yule workmates wako apunguze kula jirani.
 
Bichwa Komwe nambari wani kwa kuomba vocha [emoji85][emoji85][emoji85]

Udugu naaibika mwenzio leoo nisitiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utakomaaa subiriii kutajwa huko uduguu.
Cpati picha itakuaje hyo siku.
 
Yani mihela itupite hivi hivi🤣🤣🤣

Kwanza atwambie hao ng'ombe wapo Meatu au Simiyu.....unaweza kutusaidia kutuconnect na watu wa logistics🤣🤣🤣
Kwa Mila za nyumbani nikishatoa ng'ombe lazima nile mzigo. Tena mashangazi zangu wanakuwepo ili mwanamke akizingua wananisaidia kumtanua miguu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom