Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
japo penzi ni kikoozi na halifichiki kama pembe la ng'ombeBaba mwenyewe umejionea, hivi enzi unamtaka mama ndio mlikuwa mnatongoza hivi??? πππ
Yeye si angetuma washenga nyumbani jamaniβ¦
HahahahahaAngejua kama ni mwanaume mwenzie asingesumbua watu
Hata sikujua km kuna uzi unanihusu huku πππIla uliuacha ukapumua muda mrefu jirani
Hadi hapa umethibitisha una tatizo la akiliMama yako kanishikia?
πππ kabisa jiraniNi fursana sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii afu kumpamba ex shem wako hivyo jee? Tajiri JF nzima umesikia wapiii?Anajitia kidole na kujinusa mwenyewe huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mimi nimuombe vocha huyo Okwi??
Km nna shida si namuomba shem wangu Mjep tajiri wa voucha JF nzimaβ¦
Huyo Okwi yy km anataka atumiwe vocha asizunguke, aseme nimtumie [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anachangamsha kijiwe baba πππjapo penzi ni kikoozi na halifichiki kama pembe la ng'ombe
nafikiri kijana akufuate walau pm kisha mje sasa kwa wazee
Weee kwa shem ndio usiongee hadi server zote zinamtambua boss wa vocha JF ni Mjep mtu km hataki akanye boga ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii afu kumpamba ex shem wako hivyo jee? Tajiri JF nzima umesikia wapiii?
Haturudiani ujue, sasa we msifie tena utaniudhi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF njegeka nyingi mnooo.
ππππ JiraniHuyo ni jirani yangu,
Una ngapi hapo ili tuanze mchakato?
ok..hebu ni pm binti yangu na mazungumzo na wewe kidogoHuyo anachangamsha kijiwe baba πππ
ππππVijana siku hizi Wana nyege sana.
Pamoja na joto kuwa Kali,ila Kila kukicha wanaanzisha nyuzi za kuwataka wadada wa Jeiefu.
ππππ balehe zinawasumbuaWengi wanaoanzisha thread za aina hii,mimi hua nawaona ni wanaume dhaifu sana,bila shaka itakua ni wale wavulana wa Shule bado.
Lamomy unaonekana una kismart sana.ππππ
Uko wapi nije mrembo ππAngejua kama ni mwanaume mwenzie asingesumbua watu
Viumbe wa JF utawaweza kaka?!!Lamomy unaonekana una kismart sana.
Hivi karibuni Nimeona nyuz na komentsi kadhaa kukuhusu.
Nenda kaongee na kioo Kwanza kwa umakini.Kwa huyu nitatoa ng'ombe 100. Na nipo tayari kwenda kujitambulisha kwao. Nipeni mbinu wakuu
πππ Huyu utajichosha kumjibu hebu achana nayeUpo serious na hili?
Na umejua kunyamaza, umesubiri nimalize ndo uniambie ππππMuda huu anafanya shopping somewhere atatumia muda mrefu kidogo, akimaliza akitulia atakuja