😂😂😂 jirani namwambia wifi unamuita km mshumaaJirani huu mwaka kweli wa kufosi, ni lazima utaitwa bosiii. Huo mzigo kama ni vijora vishamkosa wifi yako maana yupo kama mshumaa wa pasaka kijora hawezi vaa.
😂😂😂😂 mxiewwwwWe si unapenda majina, haya chama huyo apo sasa hutaki 😂
Nilishamwambia siku atakayoamini maneno ya watu ndio mwsho wetu namuacha 😂😂😂😂 jirani namwambia wifi unamuita km mshumaa
Ushindwe wewe jina hilo apo kiungo cha mpira, Mungu akupe nini tena jirani, mzigo unafunga tena mkubwa na mwingine unao ule aliekupa mama. Chama huyo apo unataka nini jirani yangu. 😂😂😂😂😂 mxiewwww
KhaaaCHADEMA CHADEMA PIPOZ PAWAAA.
CHADEMA CHADEMA PIPOZ PAWA.
TANZANIA TANZANIA PIPOZ PAWAA.
TANZANIA TANZANIA PIPOZ PAWAAAA.
JAPO NILIKUWA MTOTO ILA HILI GOMA LILIKUWAGA LINAVAIBU SANA KWENYE MAGARI YA MATANGAZO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliiii.Weee kwa shem ndio usiongee hadi server zote zinamtambua boss wa vocha JF ni Mjep mtu km hataki akanye boga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ww kurudi kuko pale pale, huwezi kusurvive humu bila yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awalete fasta, km mi niliwahi kumtumia msg pm ya kuomba vocha nampandia dau
Km nilimuomba 10k mi nampa laki ss hivi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwingine huyu amedakwa na illusion, unaota wewe kijana hulali unakosa usingizi unamfikiria hippopotamus
KAOLEWA na Countrywide ,kihalali....tafuta mwingineKwa huyu nitatoa ng'ombe 100. Na nipo tayari kwenda kujitambulisha kwao. Nipeni mbinu wakuu
Mmh utachomwa moto wewe 🙇Angejua kama ni mwanaume mwenzie asingesumbua watu
Shemeji umejibu Kwa niaba🤣🤣🤣umetisha sanaMuda huu anafanya shopping somewhere atatumia muda mrefu kidogo, akimaliza akitulia atakuja
Wanataka kukuingiza labour siku si zako wakutue🤣🤣🤣Kumekucha Kumekucha
JF bana kuna viumbe, aisee mkuu mimi mke wa mtu na hapa nilipo na mimba kuuuubwaa.!!
Countrywide nisaidie kumjibu hebu
AMEKUKOSEA SANA.We koma lini nilikuomba vocha??
Hebu weka hapa hiyo msg ya pm nione…
Punguza miwasho, sinaga njaa za hivyo mwenzio…
Kaa kwenye nafasi yako
🤣🤣🤣🤣🤣We nae,acha kujizima dataNipo serious na hili jambo, tunaweza kuanzia jf lakini baadae ukakuta tushakuwa pamoja with beautiful kids and family
Kivipi?, hauniamini mkuu?🤣🤣🤣🤣🤣We nae,acha kujizima data
Lovelovie kasema ndoa bado, sasa nimuamini yupi kati yenu.KAOLEWA na Countrywide ,kihalali....tafuta mwingine
Akikataa nahamia kwa cocasticKAOLEWA na Countrywide ,kihalali....tafuta mwingine
Hawaachani ng'ooooohSawa ila mi nachoona jamaa anamdanganya cousin wako. Ila sawa siku akiwa free ( wakiachana), utanifanyia mpango