Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
It's weekeeeeeeeeeeeeeeend π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π΅πΌπ€π₯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulikua unaamini kabisa ni kitu real?Mkuu fanya kuzipitia utupe jibu! Usikute Country kachafuliwa bure tu mkaka wa watu
YesWewe ulikua unaamini kabisa ni kitu real?
Ladies & gentlemen, brothers & sistersIt's weekeeeeeeeeeeeeeeend π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π΅πΌπ€π₯
Kuna common sense lakiniMimi nilikua sijui kuhusu haya mambo na ndio maana nimemuomba Jack aseme zile za 100 ni editing au sio
Mimi binafsi siwezi kufurahi mtu akichafuliwa kwa habari za uongo
Mkuu tuachane na hayo, naomba nambaMi na michezo na nani au umenijua leo?
Mkuu mimi mambo ya IT sijui, Mungu shahidiKuna common sense lakini
Weekend mood πΎπ₯π» Cheer's everyone πLadies & gentlemen, brothers & sisters
Itβs furahiiiiiiiiiiiideiiiiiiiiiiiii π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Mtandaoni usipotumia akili yako utatekwa kwenye akili za wengine, na kutoka hapo itakua ngumu
π€£π€£π€£π€£ ukaona nawewe uingie tu. Ule uzi umekula ban ya nini tena? fundi wa binadamu.Naona uzi umepamba moto halafu sielewi hata kinachozungumzwa ila kila nilirefresh naukuta trending
Mtandaoni usipotumia akili yako utatekwa kwenye akili za wengine, na kutoka hapo itakua ngumu
Mkuu hii yako ni edit sababu mm nimejiunga jf Jana tu, Sasa hiyo picha 2023 naweza vipi kuiweka?Mkuu naona huelewi zile ni editingView attachment 3028360
Na ndio maana nimemuomba Jack aseme! Japo mimi haya mambo ya mtandaoni sanasana jf huwa nasoma na kuyaachia hapohapo sababu hayaniathiri kwenye maisha yangu ya ukweliMtandaoni usipotumia akili yako utatekwa kwenye akili za wengine, na kutoka hapo itakua ngumu
Ananinyima tu namba huyoMkuu huna zingine utupie tuone inaonekana mnajuana nyie [emoji81]
Huyo kajistukia tu mm shida yangu ilikua nambaSio sawa kuchafuana mkuu!
Unapomfanyia ubaya mwenzako na wewe utalipia
Sielewi hata naingia nakuta ban nahisi kuna coment nimemtag ephen wauni wameripoti ama kuna jamaa nimemwambia vidole kama tangawiziππ alipost sandalsπ€£π€£π€£π€£ ukaona nawewe uingie tu. Ule uzi umekula ban ya nini tena? fundi wa binadamu.
Huyo sababu zimekuja zake, anajua kila kitu wala asikuzuge chochote na wala asikuongopee chochote. Humu usipotumia vizuri akili inakula kwakoNa ndio maana nimemuomba Jack aseme! Japo mimi haya mambo ya mtandaoni sanasana jf huwa nasoma na kuyaachia hapohapo sababu hayaniathiri kwenye maisha yangu ya ukweli
Mimi ulinitag kuhusu nini mkuuSielewi hata naingia nakuta nahisi kuna coment nimemtag ephen wauni wameripoti ama kuna jamaa nimemwambia vidole kama tangawiziππ alipost sandals