Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Status
Not open for further replies.
UNAFKI 🗑️
Tatizo lako kwangu lilipoanzia najua!
Nikwambie tu mimi sipo hivyo unavyonichukulia, na ndio maana nikachagua kukaa kimya sababu ugomvi siuwezi na sio mambo yangu.
Muda utaongea sihitaji hata kujielezea sana

Mimi nipo humu kufurahi na kila mtu
Ushauri; Ukiwa na tatizo na mtu, usimchukulie uadui yule anayeongea na kucheka na adui yako.
 
Tatizo lako kwangu lilipoanzia najua!
Nikwambie tu mimi sipo hivyo unavyonichukulia, na ndio maana nikachagua kukaa kimya sababu ugomvi siuwezi na sio mambo yangu.
Muda utaongea sihitaji hata kujielezea sana

Mimi nipo humu kufurahi na kila mtu
Ushauri; Ukiwa na tatizo na mtu, usimchukulie uadui yule anayeongea na kucheka na adui yako.
Wanafki sisi tunaishi nao, sina tatizo na wewe hunijui sikujui.
Nilichogundua mimi role model wako humu. 🗑️
 
IMG_6841.jpeg
Furahi day🍻
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom