Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Yeah mkuuNaona funguo za ugaigai pembeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mkuuNaona funguo za ugaigai pembeni
Zle alizokua anabambikiziwa kantry zilikua na tar mbili tofauti kulia na kushotoWala sio tarehe, kila kitu kipo real Ila picha ndio inatolewa unaweka unayotaka na inakaa kama ilivyokua ya mwanzo
Aisee! Nimecheka sanaWanafki sisi tunaishi nao, sina tatizo na wewe hunijui sikujui.
Nilichogundua mimi role model wako humu. 🗑️
Chunga usisahau funguo😀 utatafuta hilo gari hadi mfukoniYeah mkuu
View attachment 3028389Furahi day[emoji482]
Wakiiba watarudisha wenyewe mkuu😅Chunga usisahau funguo😀 utatafuta hilo gari hadi mfukoni
No yule anatumia pc, pc unaonyesha tarehe ya picha na unaonyesha tarehe ulijiunga jf. Ukitumia simu huoni hiko kituZle alizokua anabambikiziwa kantry zilikua na tar mbili tofauti kulia na kushoto
Huna cha kunishauri 🗑️Aisee! Nimecheka sana
Mtu ukishaniona mimi ni mnafki wakati sijawahi kukufanyia ubaya wowote zaidi ya kukuona jukwaani inakua inanishangaza unaposema huna ubaya na mimi!
Nimechagua kukuepuka sababu tayari ushanitilia alama ya ❌ siku naweza nikakutania ukapata hasira ukakuza mambo kumbe una kisirani na mimi tokea huku nyuma.
Zingatia ushauri niliokupa
Active Paw Payge Moderator YinYang Maxence Melo Boqin BlackBold Bridger Diversity Fang Cookie Mhariri WandTatizo lako kwangu lilipoanzia najua!
Nikwambie tu mimi sipo hivyo unavyonichukulia, na ndio maana nikachagua kukaa kimya sababu ugomvi siuwezi na sio mambo yangu.
Muda utaongea sihitaji hata kujielezea sana
Mimi nipo humu kufurahi na kila mtu
Ushauri; Ukiwa na tatizo na mtu, usimchukulie uadui yule anayeongea na kucheka na adui yako.
Kuna jamaa anatucharazia kwa mods ameanza kua na tabia kama za nabii gentamycinUzi uko trend No 1 🔥. Mkihamia mwingine, kama kawa kama dawa mnanitonya. Maisha ndiyo haya, ni mwisho wa mwezi halafu ndiyo weekend imeanza. Zaidi na 77 imeanza raha kama zote wee hutaki?
Id gani hio tuifatilie kwa ukaribuNaomba anayeweza kuanzisha uzi kule kwenye malalamiko, kuna mtu ana ID's nyingi, kila moja na kazi zake. Nataka mods watoe majibu wanamuacha ni wao ndiyo wenye hizo ID ama nini.
Nahitaji majibu hayo. Kumuendea kaka Max Whatsapp na issue kama hii ni kumkosea. So naomba anayeweza kuanzisha please.
😎😎 As usualJamaa unatucharazia au vipi
Ndiyo huyo mjinga mwenye ID nyingi. Nahitaji majibu ya mods.Kuna jamaa anatucharazia kwa mods ameanza kua na tabia kama za nabii gentamycin
Nikimuona popote namreportNdiyo huyo mjinga mwenye ID nyingi. Nahitaji majibu ya mods.