Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Status
Not open for further replies.
Wanafki sisi tunaishi nao, sina tatizo na wewe hunijui sikujui.
Nilichogundua mimi role model wako humu. 🗑️
Aisee! Nimecheka sana
Mtu ukishaniona mimi ni mnafki wakati sijawahi kukufanyia ubaya wowote zaidi ya kukuona jukwaani inakua inanishangaza unaposema huna ubaya na mimi!

Nimechagua kukuepuka sababu tayari ushanitilia alama ya ❌ siku naweza nikakutania ukapata hasira ukakuza mambo kumbe una kisirani na mimi tokea huku nyuma.

Zingatia ushauri niliokupa
 
Aisee! Nimecheka sana
Mtu ukishaniona mimi ni mnafki wakati sijawahi kukufanyia ubaya wowote zaidi ya kukuona jukwaani inakua inanishangaza unaposema huna ubaya na mimi!

Nimechagua kukuepuka sababu tayari ushanitilia alama ya ❌ siku naweza nikakutania ukapata hasira ukakuza mambo kumbe una kisirani na mimi tokea huku nyuma.

Zingatia ushauri niliokupa
Huna cha kunishauri 🗑️
 
Naomba anayeweza kuanzisha uzi kule kwenye malalamiko, kuna mtu ana ID's nyingi, kila moja na kazi zake. Nataka mods watoe majibu wanamuacha ni wao ndiyo wenye hizo ID ama nini.

Nahitaji majibu hayo. Kumuendea kaka Max Whatsapp na issue kama hii ni kumkosea. So naomba anayeweza kuanzisha please.
 
Naomba anayeweza kuanzisha uzi kule kwenye malalamiko, kuna mtu ana ID's nyingi, kila moja na kazi zake. Nataka mods watoe majibu wanamuacha ni wao ndiyo wenye hizo ID ama nini.

Nahitaji majibu hayo. Kumuendea kaka Max Whatsapp na issue kama hii ni kumkosea. So naomba anayeweza kuanzisha please.
Id gani hio tuifatilie kwa ukaribu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom