Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No usifanye hivyo. Punguza munkariHuna cha kunishauri 🗑️
Umeshayatimba kwa penseli?😂Naomba anayeweza kuanzisha uzi kule kwenye malalamiko, kuna mtu ana ID's nyingi, kila moja na kazi zake. Nataka mods watoe majibu wanamuacha ni wao ndiyo wenye hizo ID ama nini.
Nahitaji majibu hayo. Kumuendea kaka Max Whatsapp na issue kama hii ni kumkosea. So naomba anayeweza kuanzisha please.
Aah wapi jitu la kutaka sifa na hakuna anayempa. Yaani inaonyesha lina maisha ya hovyo so hii ndiyo furaha yake. Silipendi na linanitia kinyaaUmeshayatimba kwa penseli?😂
Penseli ni zaidi ya kichomiAah wapi jitu la kutaka sifa na hakuna anayempa. Yaani inaonyesha lina maisha ya hovyo so hii ndiyo furaha yake. Silipendi na linanitia kinyaa
Kwanini mkinywa mnafumba macho kwa uchungu lakini mnaendelea kunywa?View attachment 3028461Tunywe bia guys.., 😊
View attachment 3028461Tunywe bia guys.., 😊
😁Kwanini mkinywa mnafumba macho kwa uchungu lakini mnaendelea kunywa?
Yeah serengeti lemon mkuuKumbe serengeti ina muonekano wa tofauti siku hizi🙄
Huyo sio mzoefu anajifunza mkuu😅Kwanini mkinywa mnafumba macho kwa uchungu lakini mnaendelea kunywa?
Kula bia pata raha mkuu😊Yeah serengeti lemon mkuu
Kwamba ukinywa mara kwa mara utazoea uchungu?Huyo sio mzoefu anajifunza mkuu😅
Life is too short mkuuKula bia pata raha mkuu😊
Unazoea hadi unapata kiu cha bia sometimesKwamba ukinywa mara kwa mara utazoea uchungu?
SureLife is too short mkuu
Aisee! Furahia mkuu🥂Unazoea hadi unapata kiu cha bia sometimes