Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Nampataje huyu mtoto anaitwa Lamomy?

Status
Not open for further replies.
Naomba anayeweza kuanzisha uzi kule kwenye malalamiko, kuna mtu ana ID's nyingi, kila moja na kazi zake. Nataka mods watoe majibu wanamuacha ni wao ndiyo wenye hizo ID ama nini.

Nahitaji majibu hayo. Kumuendea kaka Max Whatsapp na issue kama hii ni kumkosea. So naomba anayeweza kuanzisha please.
Umeshayatimba kwa penseli?😂
 
IMG_6962.jpeg
Tunywe bia guys.., 😊
 
Mkuu upo kupigwa na kitu kizitooo😂😂😂 Anyway kama una hela za Ngama usifuate Wala Bata. Huyu hapa rafikie cocastic bonga naye akupe connection.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom