Locawear
Member
- Jun 28, 2024
- 45
- 164
😂😂😂😂Maisha ya JF, hata shule za boarding nilizosoma zina afadhali kubabeki wallah..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Maisha ya JF, hata shule za boarding nilizosoma zina afadhali kubabeki wallah..
Sasa siwezi ingilia Ile kesi ila nlikuwa naelewa nini kinafanyika kwenye zile pichaLeo ndio mnajitokeza? Kwanini haukusema tokea zilipoanza kutumwa?
AiseMaisha ya JF, hata shule za boarding nilizosoma zina afadhali kubabeki wallah..
Nimeona mkuu, itoshe kusema Mzee wa kupambania yupo vizuriAise
Huyo ni boya tu🤣🤣 utashangaa yupo humu kwnye uzi anafatilia kwa ukaribu tena nakula banYes, yupo ila kwasasa ni new member.
Atakuja kupokea maua yake hapa hapa😍🤝Nimeona mkuu, itoshe kusema Mzee wa kupambania yupo vizuri
Mods wawarudishe Kantry na Lamomy AiseeSasa siwezi ingilia Ile kesi ila nlikuwa naelewa nini kinafanyika kwenye zile picha
Wala sio tarehe, kila kitu kipo real Ila picha ndio inatolewa unaweka unayotaka na inakaa kama ilivyokua ya mwanzoAngalia tarehe
Kafanana na my Ex, kama siyo yeye maana naye alikuwa mtoto wa mjini mbaya. NgojaNimeona mkuu, itoshe kusema Mzee wa kupambania yupo vizuri
UNAFKI 🗑️Mods wawarudishe Kantry na Lamomy Aisee
100 others kwanini ulifanya vile sasa?
Nilidhani Mzee wa kupambania ni mzee mwenye m'vi kumbe bado analipaKafanana na my Ex, kama siyo yeye maana naye alikuwa mtoto wa mjini mbaya. Ngoja
Jamaa ni mjanja mjanja wa mjini🤣🤣 mtu adimu kabisa ni mzabzab huyu utamkuta kwenye ishu za hovyoNilidhani Mzee wa kupambania ni mzee mwenye m'vi kumbe bado analipa
Anafaa kwa matumizi 🤸🤸🤸🤸🤸🤸Nilidhani Mzee wa kupambania ni mzee mwenye m'vi kumbe bado analipa
Tatizo lako kwangu lilipoanzia najua!UNAFKI 🗑️
Wanafki sisi tunaishi nao, sina tatizo na wewe hunijui sikujui.Tatizo lako kwangu lilipoanzia najua!
Nikwambie tu mimi sipo hivyo unavyonichukulia, na ndio maana nikachagua kukaa kimya sababu ugomvi siuwezi na sio mambo yangu.
Muda utaongea sihitaji hata kujielezea sana
Mimi nipo humu kufurahi na kila mtu
Ushauri; Ukiwa na tatizo na mtu, usimchukulie uadui yule anayeongea na kucheka na adui yako.
Zingine hazitaki uwe na graphics skills kujua ni edit au siyo edit, Kuna zingine zinatumwa humu tar ya kupostiwa inaonekana march 2023 wakati huo hizi features kama new post hazikuwa kama saivKwanini haukusema tokea zilipoanza kutumwa?
Naona funguo za ugaigai pembeniView attachment 3028389Furahi day🍻