ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Haya mambo yenu nawaachia nyie wenyeweHuyo sababu zimekuja zake, anajua kila kitu wala asikuzuge chochote na wala asikuongopee chochote. Humu usipotumia vizuri akili inakula kwako
Am out🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo yenu nawaachia nyie wenyeweHuyo sababu zimekuja zake, anajua kila kitu wala asikuzuge chochote na wala asikuongopee chochote. Humu usipotumia vizuri akili inakula kwako
Ingie ucheki kule nilimreply mzee wa kupambania ilikua ni jokes tuMimi ulinitag kuhusu nini mkuu
Uzi gani?Ingie ucheki kule nilimreply mzee wa kupambania ilikua ni jokes tu
Pole Sana😂😂😂Mkuu mimi mambo ya IT sijui, Mungu shahidi
Zote fake😂Post #562
Graphics hata wasiosoma wanafanya, ila hizi za humu angalia background yake utajua ni edit au siyo edit😂😁😁Kwanza hata kuedit kwenyeww hawajui Hawa wanajifunza ni wahuni Hawa😂😁😁
Pole sana, nami nimeahangaa kuona wamekuban. Maana hata uliyemwambia vidole kama tangawizi. Alianza yeye kusema vibaya kwako. Hata hivyo alicheka tu. Mods wamepagawa, sijui ni yule mgeni!Sielewi hata naingia nakuta nahisi kuna coment nimemtag ephen wauni wameripoti ama kuna jamaa nimemwambia vidole kama tangawizi😀😀 alipost sandals
🥂Weekend mood 🍾🥂🍻 Cheer's everyone 💞
Aisee! Sasa unapata faida gani kumchafua mwingine?Zote fake😂
I didnt know kama watu wapo serious wanachafuana😓Aisee! Sasa unapata faida gani kumchafua mwingine?
Muhimu kila mtu atalipwa alichokipanda
Leo ndio mnajitokeza? Kwanini haukusema tokea zilipoanza kutumwa?Graphics hata wasiosoma wanafanya, ila hizi za humu angalia background yake utajua ni edit au siyo edit
Kuna mod mgeni!? Walimtambulisha?Pole sana, nami nimeahangaa kuona wamekuban. Maana hata uliyemwambia vidole kama tangawizi. Alianza yeye kusema vibaya kwako. Hata hivyo alicheka tu. Mods wamepagawa, sijui ni yule mgeni!
Angalia tareheZile za 100 others ni za kuedit?
Hata background huwezi kujua, labda utumie edit tools za hovyoGraphics hata wasiosoma wanafanya, ila hizi za humu angalia background yake utajua ni edit au siyo edit
Kwanini haukusema tokea zilipoanza kutumwa?Angalia tarehe
Wa mad max upo kwenye urembo na mitindo kuhusu viatu na dress codesUzi gani?
Mkuu lakini naamini utanipa nambaI didnt know kama watu wapo serious wanachafuana😓
Yes, yupo ila kwasasa ni new member.Kuna mod mgeni!? Walimtambulisha?