Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani sio raha tuuu!Vuta subira mamie.
Hyo siku itakuja tu, raha sana.
Acha mambo yako bhana, tayari maandalizi ni 90% karibu sana ndugu yangu..............wanaJF wote tunawakaribisha!!
Tunaelewa sana umuhimu wenu.............pia mods karibuni sana, bila kuwasahau waasisi wote wa JF kwa heshima na taadhima naomba mkaribie, naombeni sana msikose jamani!!!!
gfsonwin naomba uwe mama mlezi wa MMU......................huku tukiendelea taratiiiiibu kumtafuta baba mlezi wa MMU, unafaa sana.......................eti unasema hv: mwanaume anahitaji kuheshimiwa zaidi kuliko kupendwa na mwanamke anahitaji kupendwa zaidi kuliko kuheshimiwa ila huwezi kuheshimu bila kupenda na huwezi kupenda bila kuheshimu...........what a philosophy??????!!!!!!!!!!!
Chukua pHD yangu nakupa bila hiyana japo sina chuo!!!!
Madame B fuata nyayo za gfsonwin you will win!!
I see!, hivi kweli mambo ni serious, mimi ni Tomaso, mpaka nione alama kwenye viganja.
Umeona eeh, watu wa hisia as if ni ishu siriaz, au kweli ni siriaz, unajua mimi sielewagi haya mambo ya mitandaoni.nafuata mkumbo ujue wewe huoni hisia zilizotawala kwa wachangiaji hasa lile kundi lake???!!!
(nimekunong'oneza tu usimwambie mtu, sawa ntoto nnzuri)
FREEMASONS at work!There are currently 83 users browsing this thread. (31 members and 52 guests)
- Madame B,
- gfsonwin,
- Chimbuvu+,
- Zion Daughter,
- Idimi,
- ESAM,
- Kaka Yao,
- Tamatheo,
- snowhite,
- Thanda,
- Dafo,
- Mwita Maranya+,
- LEARNED BROTHER,
- Lisa,
- Prisss,
- hovyohovyo,
- UNDENIABLE,
- gakato,
- natural cute,
- Ndachuwa,
- Arafat Bahdellah,
- Bujibuji+,
- Denis Kasekenya,
- Life.co.tz,
- CHAI CHUNGU,
- Kana-Ka-Nsungu,
- tungibwaga,
- Paddy,
- Bartony,
- kiwatengu,
- RabidDog
Leo mmeniamulia.................
Umeona eeh, watu wa hisia as if ni ishu siriaz, au kweli ni siriaz, unajua mimi sielewagi haya mambo ya mitandaoni.
Mapenzi kitu cha ajabu sana yamemfanya Madame B kawa mdogo leo hureeeeee!!!!!
Haya madame ligwaride lingine hilo kazi ni kwako, naona nyota inang'aa kuelekea jeshini.....
mi nakuombea awe mme mwema mwenye mapenzi ya kweli!!!
PJ tumpeleke CHUMVINI tukamtie adabu nini?
Acha na mimi nitangaze interest,Haya mambo ya mitandaoni ni kweli, mm nimeprove ila you must have some extra-ordinary skills manake wengi wa mitandaoni wapo skilled sana, kwa hio lazma uwe na extra skills ndo utaenda anao sawa vingnevyo utajikuta umekalishwa wewe!!
Sasa hayo yatakua maisha au mateso?Hahaha!
Duh!
Pete hadi kwa mtutu!
I see!, hivi kweli mambo ni serious, mimi ni Tomaso, mpaka nione alama kwenye viganja.
Shoga yangu, rafiki yangu na Kipenzi changu Evelyn Salt,
Nitakumiss sana kule jukwaa letu.
Nadhani Mwaka 2012-2013 ni mwaka wangu kwa Wajeda.
Ila ngoja niangalie na bahati hii.
Yule hakupenda ninavochati na nyie.
Ila tuko pamoja.
Msifanye hvo jamani.
nafuata mkumbo ujue wewe huoni hisia zilizotawala kwa wachangiaji hasa lile kundi lake???!!!
(nimekunong'oneza tu usimwambie mtu, sawa ntoto nnzuri)
Acha na mimi nitangaze interest,