Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Mkuu KakaKiiza mbona sasa unatoboa siri?? we unadhani huyu commando kiplagati26 amechanganyikiwa hadi kum-please Madame B?? hayo ni matokeo ya kazi nzuri ya kamati ya ufundi ambayo wewe binafsi ulishiriki kikamilifu kumtafutia na hatimaye kumpeleka.:yo::yo::yo:
Hahahahah........ hakika sijutii kuwa na makaka kama Nyie JF.
Viva JF......... Mwita Maranya Umeniona?
Kuna nini tena? CHAI CHUNGU hana lake.
Hhahahaahhhhhh.............. CHAI CHUNGU unampenda eeee, Kaka Nicas Mtei.
Dogo kiulaini utavuta mashine... ila gia kubwa mno umeanzia...Kunguni hauwawi kwa BOMU... KIDOLE TU SAAIZI YAKE...
hhahahaahahaaaaaaaaaaaa gakato,........... acha bhana, kupenda kazi sana.
Last edited by a moderator: