Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Mkuu mie ujio wa komando kwenye familia yetu nimeupokea kwa mikono miwili...najua wale vibaka wa Kino Clain watakuwa wanapita mbali kabisa na kwetu

Tuko pamoja sana dadangu Madame B. Bahati mbaya bado sijamuona mdau watu8 lakini Nicas Mtei nimemuona amesononeka sijui hakupenda uende kwa komando!!??

c.c Mtambuzi-hivi bado umelela wewe mzee???
 
Mkuu mie ujio wa komando kwenye familia yetu nimeupokea kwa mikono miwili...najua wale vibaka wa Kino Clain watakuwa wanapita mbali kabisa na kwetu
watu8
Wote mnaounga mkono hili nawa-note down! hivi viherehere vyenu mtajutia upepo ukishapita.....
 
Last edited by a moderator:
in between...sio mwanamke wala mwanaume.........hujajua jinsia yake halafu unatiririka mambo kibao.....ilipaswa ujue jinsia yake kwanza......we mtu anaitwa madame kabisa halafu unauliza jinsia yake kweli......
 
eeh..eh...yaani hadi Zion Daughter anaenda kwa sangoma......mungu wangu,Aunt Kongosho hebu njoo umtetee mwanao,hivi mama yake mwaJ anajua haya???

Hapana dia mie ni Binti sayuni kwa sangoma kwangu mwiko.. KakaKiiza alimaanisha kule Leo tupa hapa...naamini kikao kijacho tutaenda wote.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha mkuu na wewe andika thread kama hii....yaani mbona tutaunda na kikundi cha matarumbeta na pikipiki kutoa support

watu8
Wote mnaounga mkono hili nawa-note down! hivi viherehere vyenu mtajutia upepo ukishapita.....
 

Mpenzi wangu wa kumoyo Ben Saanane, najua unapata wivu sana pale uonapo tunda lako tamu linachumwa mtini.
Ila amini niwewe mmoja tu.
Hahaha!
Mapenzi yana nguvu dah!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…